0:00
30:13
30:13

Aisee!! MIRAJI Awacharukia Wanaosema SIMBA Haijalipa Mishahara | Wasimpe Ubaya Ahmed Ally Kuondoka

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 21

Sign in to join the conversation

Sign in
matthewmist72
matthewmist72 22 hours, 41 minutes ago

Miraji muongo, HAKUNA bil.iliyokabiziwa mzee

R
robertvaleon36 1 day, 1 hour ago

Hiyo ni muhind ndoo mana

V
victoire_chrétien 1 day, 1 hour ago

Nikweli kabisa

S
suzanneshadow59 1 day, 2 hours ago

Milioni mia nane hiyo irinza yan ❤❤❤❤❤simba nguvu moja.

M
madeleinedelahaye639 1 day, 2 hours ago

800,000,000

A
amanda.knight 1 day, 2 hours ago

Simba kubwa na huwa inaenda mjini bwana dah🎉🎉🎉🎉🎉

A
andrea_hodges 1 day, 2 hours ago

Dhaaa mwanang mala moja ❤❤❤❤❤❤❤❤

J
juancarlos.rolón 1 day, 3 hours ago

Sema miraji vingne unatunga

R
rodrigo.mendes 1 day, 5 hours ago

Hongera kaka miraji mungu akujalie kila kukicha

angela.patterson
angela.patterson 1 day, 7 hours ago

Kumekucha

abigailbrown482
abigailbrown482 1 day, 7 hours ago

Mwanzoni kabisa mwa msimu wakati Yanga wanasajili wachezaji Simba walikuwa wako kimya Dominic Salamba akasema Simba hawana hela ya usajili ,Simba walipoanza kutangaza wachezaji Salamba TV wakiwa na Mchome wakaibuka na lingine kwamba Simba imefilisika lakini uthibitisho hawakuwa nao Hizi mechi tano zilizobaki ndio zinazoshabisha wazua taharuki kutaka kuwaondoa Simba mchezoni.Big up Miraji

franz-xaver_scheel
franz-xaver_scheel 1 day, 10 hours ago

Ahmed ni ICON YA SSC❤

L
lilia_medrano 1 day, 11 hours ago

LEO UMEONGEA POINT MWANZO HADI MWISHO 💪👍👍👍

R
reecehopkins473 1 day, 11 hours ago

Ahmed ally "amesema mshahara kuchelewa kwa siku 3 au 4 mbn ni kitu cha kawaida" Sasa miraji unachobisha ww nini? Ukweli unauma ila inatubidi tukubali

R
rebecca_anderson 1 day, 11 hours ago

Hawtutoiiii mchezoniiiii Kuna dekii

B
benitosolorzano76 1 day, 12 hours ago

SIMBA SC, Concentrate on the 5 games, Other issues will come later, We need to lift that title, Miraji you're 💯 on point.

J
jamesrune24 1 day, 12 hours ago

Mm mkenya nliipenda Simba kwa ajili ya Ahmed Ally kwaio akiondoka na mm naondoka nashabikia Azam wajinga nyie Ahmed Ally Hadi kifo lkn kuondoka Simba ilo swala silimibali

severin.geisel
severin.geisel 1 day, 12 hours ago

❤❤❤Simba guvuu mojaa kaka

V
victoria_elliott 1 day, 12 hours ago

❤❤❤❤❤❤❤❤❤

A
abeerbath407 1 day, 12 hours ago

Milaji ujawai kunianguaha ata siku moja nakukubali sana♥️♥️♥️♥️♥️