Uongozi wa Simba tunawatahadharisha hatutaki kusikia Ahmed Ally munamuondoa. Fanyeni yooote ila Ahmed Ally asiguswe.. tunampenda tunamuhitaji. Kiongozi wetu wa mashabiki Ahmed tunae na tunatamba nae kwa furaha zetu.
R
rebecca_anderson2Β months ago
We viongozi wa simba hatuta waelewaa semaji wa cuf tunaye na tunatambaa nayee wasijaribu tutaandamanaa
kerry_nicholson2Β months ago
Jamani tushikamaneni tuwe mabingwa tuwazee mechi zote tunashindaje tuacheni ujanja ujanja wa yanga kututoa kwenye reli
C
cheyenne_brown2Β months ago
Yaani bus letu limepata thamani kubwa kwa wapenzi wa soka Tanazania kulishangilia. Mitandao yote inaonesha basi letuβ€β€β€β€β€
olivierdrift982Β months ago
Hatutaki ata kusikiia habari za kumuacha Amedi Ali
R
robertvaleon362Β months ago
Ahmed Ally ni ICON ya Simbaβ€
howardandrews3122Β months ago
Tutaandamana akiachwa
G
gabrieltempest282Β months ago
Ahmedy Ally ni kivutio Cha Dunia ktk tasinia ya mpira,tunapenda tunampenda sanaaaaaaaaaaa
KISUGU UPO SAHIHI SANA AHMED NI BORA SANA ANAUNGANISHA MASHABIKI
R
robinhollow772Β months ago
Kunamtu anapigisha Simba shoti
revadawn742Β months ago
Akitolewa msemaji aposimba mm nakujapo msimbazi nafanyafujo mwezimzima
L
luce.antoine2Β months ago
Tawlle bro Kisugu umeupiga mwingi saaana katika kujibu hilo swali la semaji letu la calf chukua maua Yako bro umenifurahisha sana β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€
E
ethan.santos2Β months ago
β₯οΈβ₯οΈβ₯οΈβ₯οΈ
R
reynaldo_godΓnez2Β months ago
Simba ni kubwa kuliko Ahmedi Ali ila kwa sasa bado tunamuitaji sana!!
K
kristin.ford2Β months ago
Ni Mpuuzi Hans Raphael ndiye aliyesema kuhusu Ahmed Alli kuondolewa Simba.Hans sijui kwanini ana kisununu na Simba
Uongozi wa Simba tunawatahadharisha hatutaki kusikia Ahmed Ally munamuondoa. Fanyeni yooote ila Ahmed Ally asiguswe.. tunampenda tunamuhitaji. Kiongozi wetu wa mashabiki Ahmed tunae na tunatamba nae kwa furaha zetu.
We viongozi wa simba hatuta waelewaa semaji wa cuf tunaye na tunatambaa nayee wasijaribu tutaandamanaa
Jamani tushikamaneni tuwe mabingwa tuwazee mechi zote tunashindaje tuacheni ujanja ujanja wa yanga kututoa kwenye reli
Yaani bus letu limepata thamani kubwa kwa wapenzi wa soka Tanazania kulishangilia. Mitandao yote inaonesha basi letuβ€β€β€β€β€
Hatutaki ata kusikiia habari za kumuacha Amedi Ali
Ahmed Ally ni ICON ya Simbaβ€
Tutaandamana akiachwa
Ahmedy Ally ni kivutio Cha Dunia ktk tasinia ya mpira,tunapenda tunampenda sanaaaaaaaaaaa
Yupo kiongozi Simba hampeΓ±di ahmedi Ally,amekuwa akiandamwa
Tatizo la hawa wanaiondoa Simba kwenye mstari. Mashabiki kuweni makini sana na hawa watu wa Yanga. Wanawaingiza kwenye kusambaratika.
nawaombeni Sana viongozi wa Simba msitukosee mashabiki please, semaji tunae na tunatamba nae
Duuuh!! Kisugu umenena neno... mara Ahmed mara basi la simba....
Ahmed Alli akiondolewa Simba,mim naacha kushabikia mpira
KISUGU UPO SAHIHI SANA AHMED NI BORA SANA ANAUNGANISHA MASHABIKI
Kunamtu anapigisha Simba shoti
Akitolewa msemaji aposimba mm nakujapo msimbazi nafanyafujo mwezimzima
Tawlle bro Kisugu umeupiga mwingi saaana katika kujibu hilo swali la semaji letu la calf chukua maua Yako bro umenifurahisha sana β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€β€
β₯οΈβ₯οΈβ₯οΈβ₯οΈ
Simba ni kubwa kuliko Ahmedi Ali ila kwa sasa bado tunamuitaji sana!!
Ni Mpuuzi Hans Raphael ndiye aliyesema kuhusu Ahmed Alli kuondolewa Simba.Hans sijui kwanini ana kisununu na Simba