SALEH JEMBE AMVAA JAY RUTTY KULETA BUS USED/MKATABA WA SIMBA UNASEMA BUS JIPYA?/AWAVAA YANGA
ADVERTISEMENT
Comments 33
ross.woodward:
Mfano wa Boing ni wa mbali sana Mkuu, Yanga Wana Marcopolo …
More Like This
5:42
FEISAL SALUM KUTAMBULISHWA WIKI YA MWANANCHI? ALLY KAMWE ATOA TAARIFA MPYA YANGA MUDA HUU
Sports
215
0
2:19:28
🔴LIVE: WATCH SHAWA AND CHICKEN CHICKEN CORPORATE BOXING AT SUPREMACY LOUNGE NAKULABYE
Sports
548
10
4:04:59
HAPPENING NOW:CHICKEN CHICKEN NE SHAWA BOXING FIGHT LIVE AT SUPREMACY LOUNGE NANKULABYE"OLI TEAM KI?
Sports
2.8k
0
5:30:26
Saratoga Live - Thursday August 6, 2026
Sports
1.1k
0
8:31:45
Caymanas Park Jamaica | Thursday, August 6, 2026
Sports
436
0
0:14
😂😂 (via MLB/TT)
Sports
82.4k
0
0:11
Roy Keane vs Stefan Effenberg Was War
Sports
280
21
0:16
yamal’s turn now😭🙏
Sports
10.7k
73
You've reached the end
Mfano wa Boing ni wa mbali sana Mkuu, Yanga Wana Marcopolo (TATA), halafu kuna Marcopolo bus za SCANIA.. sasa tuwaulize 1 = Marcopolo ni TATA au 2 = Marcopolo ni SCANIA?? Jibu ndo hilo ulomaliza nalo kwamba kuna Muunda Engine na mtengeneza bodi that's all.. Yaani siamini kama salamba ndo mjinga wa kuwa hafahamu haya mambo sasa kwa nn ushike mike na kupayuka hadharani?
Wambie wao 😂😂😂❤
Kaka wambie hao hawaelewi wanaropoka tu
Hapo umesema kweri Hao washamba washamba huwa hawamjui midomoo tuu
Hata magari ndo hivyo hivyo
Salamba ni Mshamba Hajui chochote yule muelimisheni
Salehe Jembe...una madini muhimu sana. Hongera kaka.
Huu ni mfano mzuri wa waandishi wa habari mbuzi! Nimesikiliza mwanzo Hadi Mwisho, na ninamfahamu Jembe, hua hasemi vitu vya hovyo!
Liwe usid linatutosha Hilo hilo
Salehe nakuolewa umenyoooooka sana
Kaka jembe anae taka jipya ni yule mhindi muuza chumvi kariakoo
Jembe si useme tu kwamba Salamba ndiye anayepotosha jamii na ndiye aliyesema kwamba duniani haiwezekani makampuni tofauti kushirikiana kutengeneza magari kumbe alikuwa hajui kwamba inawezekana na Irizer wanashirikiana na Scania
Sijaona na sijamsikia Salehe ni wapi alipomvaa Jayrut!Waandishi wengine bhana daah!
Boeing Rolls Royce hahaaaaaaaa
Unaposema Engineer na GSM wanaahidi halafu hawatekelezi ni kitu gani? Mnaoongelea ujenzi wa uwanja
Sale umeanza lini uchawa?
Salamba ni mshamba mshamba haelewi kwenye magari
Kaka yule kenge amejizalilisha, karuhusu njaa kuamia kichwani. Ajui Kuna 1.marcopolo tata 2.marcopolo scania 3.marcopolo asiastar 4.irizer scania...inayomchanganya 5.irizer Benz Nk
Yaani kuongelea gari ni kukosa kazi ya maana kwa wote waliojihusisha na hilo
Eliza