0:00
8:20
8:20

Yanga SC 1-1 Simba SC | Highlights | U17 Clubs Premier League 06/06/2026

Sports

LIGI YA VIJANA U17 | Ni Kariakoo Derby ya vijana, Yanga U17 na Simba U17, mchezo umemalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa TFF, Kigamboni Dar es Salaam. Yanga wametangulia kwa goli la Issa Ramadhan dakika ya 15, na Simba kuchomoa dakika za majeruhi... Tazama highlights

ADVERTISEMENT
Comments 17 caitlin_macdonald: Mabao yote Bora ya msimu yapo Simba