LIGI YA VIJANA U17 | Ni Kariakoo Derby ya vijana, Yanga U17 na Simba U17, mchezo umemalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa TFF, Kigamboni Dar es Salaam. Yanga wametangulia kwa goli la Issa Ramadhan dakika ya 15, na Simba kuchomoa dakika za majeruhi... Tazama highlights
ADVERTISEMENT
Mabao yote Bora ya msimu yapo Simba
Tumenyongwa💚💛
Kwani camera aioneshi sehem zote
Mdogo angu Samson kweka kipaji kutoka tunduru
Hee mpaka chini 17 simba wanapebwa,lilenigoli safi
Goli la simba ni kali sana❤
This is 🦁💪
Faudhi MWINYI🔥🔥🔥
🎉
Camera 1 km tupo kwenye miaka ya 70 mnazingua
Dunia inamengi sana😂😂😂😂
yanga walijisahau
Na makombe yote bora yako simba
Simba Hadi Vijana Nihatar
Holi wapi na ww wakati amefunga na mkono wa kushoto
Bada yamda mlefu
puskas