kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes
ADVERTISEMENT
kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes
Apewe GSM
Tafazal kama hutaki kumskiliza mzee said tu nakuomba usitukane tu plz
Saut chapesa haipo saw
Chapesa rekebisha saut inatusumbua sana huku hatusikii fresh uwe unatumia mice 1 tu yaan inakosesha raha ya kusikiliza bhana lakn kuhus Fiston Mayele kuja kuchezea Simba hizo ni ndoto za mchana hata kwa dawa haiwezekan hata kidgo🙄🙄🙄
We mzee nae kuma
Wote hao wanaweza wakiamua tu GSM na MO.
Mzee said ijezi Ina sili gan
Mzee unaweza sana m uwa nakuelewa sn
Pasua Mzee,,
Mzee endelea kuipigania timu kea kusema kweli
GSM
Usiwe unamsogeza maic zote mbili. Mwachie moja kama ni hiyo ulioshika au. Alioivaapo
Sasa mzee halijaonekana mmejuaje Kama lazamani?
Chapesa usimuwekeee spika mzeee said haitoki sawa
Mtowe kispika Mzee said hatumsikii vizur mtowe kispika
sema uyo mzee kipara hakina chaji ndomaana anaongea upumbavu unahoji nini kilabu inafanya vizuri kweli wewe nichawa
Mo tutamuona kama tunavyomuona moo!! 😂😂😂😂😂😂..... hii imeenda.
Hizo mic ni mbovu. Tunawapata kwa tabu sana.
😢😮😅😂❤
Ww mzee mbona shati lime chanika kwani heris hakuangalii tena na vihela unavo hongwa