0:00
20:04
20:04

PICHA ZA MUME WAKE KWENYE SIMU YA RAFIKI YAKE | part 3 full

Entertainment
ADVERTISEMENT

Comments 100

Sign in to join the conversation

Sign in
kristen_brooks
kristen_brooks 2 weeks ago

Yule mjomba aliyechomoa betri na kutoa code apewe ulinzi😂😂😂

kristen_brooks
kristen_brooks 2 weeks ago

😂😂😂😂😂😂wanaume nimewapa salut jamani duuuu

S
saravista28 2 weeks, 1 day ago

Jamani napenda sana kubembelezwa na mchumba kama hv lakini sina wa kunibembeleza. Ujangili tu miume mingine ka akina Mandonga ndo ninaopata😂😂😂🎉

helena_novais
helena_novais 2 weeks, 1 day ago

Sasa mijitu inalialia tu😂😂😂

C
christopher_moon 2 weeks, 1 day ago

Mke ni mke tu jamani 🎉🎉🎉😂😂

keith_davis
keith_davis 2 weeks, 2 days ago

Machozi mbele ya msaliti ni udhaifu mkubwa sanaaa!! Happy umeshaferiiiiiiiiiiiiiiiii

J
jonathan.hill 2 weeks, 2 days ago

Cjui Yani cjui😮😮😮 hujui nn we ni Malaya

jorge_razo
jorge_razo 2 weeks, 2 days ago

sema jamaa humble sana

anel.valdez
anel.valdez 2 weeks, 2 days ago

Kwa aivan emma kamsamee mke wake ila uchawi upo katavi jaman so bule😂😂😂

tracey_ramos
tracey_ramos 2 weeks, 2 days ago

Ivi wadad mumekuwaje jamni 😂😂😂njoeni kwa waharabu uku tupige kazi mtaani kugumuuuu😂

L
lilia_medrano 2 weeks, 2 days ago

😂😂😂he ndo umuwekee kipaz sauti alie sauti itoke vizuriii nachoka me

C
carol_atkinson 2 weeks, 2 days ago

😂😂sa wanalia nn

C
cynthia_garcia 2 weeks, 2 days ago

Ila tobby ety nyamaza wew naongea na mke wangu😂😂😂

anel.valdez
anel.valdez 2 weeks, 2 days ago

dulla makabila ft jay melody et anamshika navomshikaga anafany kam navomfanyaga😂😂😂

B
benitosolorzano76 2 weeks, 2 days ago

Hiv huyu mchepuko anapata wap ujasir wakuuliza kati ya mim namkeo unampenda nani?, hiv mzima kweli huyu🥹

B
brunamacedo633 2 weeks, 2 days ago

Ahaaaa, kiumbe mume anavaa heren, sawa

V
vanessa_carlson 2 weeks, 2 days ago

Mm wa kwangu nimfuma na house girl hajawai kuomba msamaha hadi Leo,Hadi mtoto wa dada yangu bado hajajua kosa lake, kwahiyo kwasasa nimekuwa sugu hata nikimfumania siwezi kulia Wala kuumia,nilishalia sana,niliumia sana,Sasa basi hata ona machozi yangu,labda nifiwe na ndugu yangu wa damu,nimekuwa na roho mbaya kishenzi

C
cynthia_garcia 2 weeks, 2 days ago

Nmejikuta nalia maana imeshawahi kunitokea dah 😭 inauma sana polee sana happy

W
william_grant 2 weeks, 2 days ago

anapenda kuombwa msamaha😂😂😂😂

M
megan_miller 2 weeks, 2 days ago

Ila hyu kaka 🎉🎉🎉ana saut ya mamlaka