0:00
31:27
31:27

MIRAJI|MISIMU MI3 YA UEFA JANA NDIO TUMEONA FAINAL BORA|ARSENAL WAMEPAMBANA|WANGELIPATA TUSINGELALA๐Ÿคฃ

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 40

Sign in to join the conversation

Sign in
S
steven.leon 1ย week, 1ย day ago

ARSENAL WAMEKAA UANI 120 ZOTE๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ

N
nehaganesh976 1ย week, 1ย day ago

Nkubali miraji na chagamba

abigailbrown482
abigailbrown482 1ย week, 1ย day ago

Apo milaji sikubaliani na wewe ma legend wenyewe wamesema akuna fainal mbovu ambayo aijawai tokea Kama ya Arsenal na Psg Aswa Aswa Arsenal dakika saba baada ya kufunga goal walirudi nyuma na kuanza kulinda goal na Radha ya fainali ikaisha apo kiupande wangua fainal aija kua poa

H
hortensepoirier453 1ย week, 1ย day ago

Mara moja,naomba umwambie, Ali kamwe aache,ushamba,yeye ni mtu wa mpira lakin, jana kazingua kama vile, anawadai arsenal

R
rodrigo.mendes 1ย week, 1ย day ago

Wewe nawe unakuwa mwongo mno

M
martinemarion431 1ย week, 1ย day ago

Fainali mbovu hii kwa arsenal

C
christopher_thompson 1ย week, 1ย day ago

mm ni the blues๐Ÿ’™ ๐Ÿ’™ moyoni kutoka Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Simba โคโคdamu ila jana nimefurai sana maana tusingelala๐Ÿ˜‚

K
kristopherhart294 1ย week, 1ย day ago

Fainali bora??Nakataa

V
victoire.lucas 1ย week, 1ย day ago

Chagamba nawaunga mkono kwahili

S
sallysimmons345 1ย week, 1ย day ago

๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™

M
manyadaylight5 1ย week, 2ย days ago

Ss kama man u tutaendelea na kauli yetu mpaka wabebe uefa c.l ni ile tukikaa meza moja ya kudiscuss vitu muhimu utabidi tukae wenye uefa tu kama auna usije

R
robin_eaton 1ย week, 2ย days ago

Mwambie huyoo chagamba msimu ujao Man united tunachukua EPL na UEFA champions ๐Ÿ˜๐Ÿ˜Ž

M
madeleinedelahaye639 1ย week, 2ย days ago

๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰

scottarc94
scottarc94 1ย week, 2ย days ago

Mashabiki wa Arsenal kuingia fainal tena 2046 kama kawaida yenu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ japo mtakataa ila jiulizeni wenyewe mulingia lini fainal kabla ya jana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

R
rebecca_anderson 1ย week, 2ย days ago

Miraji Maramoja nakukubali. Keep it up boy.

N
nadiaaether4 1ย week, 2ย days ago

Miaka 2 ijayo Arsenal bingwa wa UEFA

vincent_keer
vincent_keer 1ย week, 2ย days ago

Miraji, Arteta is Confused, How can He give Gabriel the chance to take the last penalty, while He had the option of Madueke and Zubimendi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

N
nadiaaether4 1ย week, 2ย days ago

Rice jana kazi yake kubwa ilikua kurusha tu mipira

D
diane_thompson 1ย week, 2ย days ago

Acha mamb wewe PSG ni tim bora sana

keith.mitchell
keith.mitchell 1ย week, 2ย days ago

Psg oyeeeess