Apo milaji sikubaliani na wewe ma legend wenyewe wamesema akuna fainal mbovu ambayo aijawai tokea Kama ya Arsenal na Psg Aswa Aswa Arsenal dakika saba baada ya kufunga goal walirudi nyuma na kuanza kulinda goal na Radha ya fainali ikaisha apo kiupande wangua fainal aija kua poa
H
hortensepoirier4531ย week, 1ย day ago
Mara moja,naomba umwambie, Ali kamwe aache,ushamba,yeye ni mtu wa mpira lakin, jana kazingua kama vile, anawadai arsenal
R
rodrigo.mendes1ย week, 1ย day ago
Wewe nawe unakuwa mwongo mno
M
martinemarion4311ย week, 1ย day ago
Fainali mbovu hii kwa arsenal
C
christopher_thompson1ย week, 1ย day ago
mm ni the blues๐ ๐ moyoni kutoka Mozambique ๐ฒ๐ฟ Simba โคโคdamu ila jana nimefurai sana maana tusingelala๐
K
kristopherhart2941ย week, 1ย day ago
Fainali bora??Nakataa
V
victoire.lucas1ย week, 1ย day ago
Chagamba nawaunga mkono kwahili
S
sallysimmons3451ย week, 1ย day ago
๐๐๐๐
M
manyadaylight51ย week, 2ย days ago
Ss kama man u tutaendelea na kauli yetu mpaka wabebe uefa c.l ni ile tukikaa meza moja ya kudiscuss vitu muhimu utabidi tukae wenye uefa tu kama auna usije
R
robin_eaton1ย week, 2ย days ago
Mwambie huyoo chagamba msimu ujao Man united tunachukua EPL na UEFA champions ๐๐
M
madeleinedelahaye6391ย week, 2ย days ago
๐๐๐๐๐๐
scottarc941ย week, 2ย days ago
Mashabiki wa Arsenal kuingia fainal tena 2046 kama kawaida yenu ๐๐๐๐ japo mtakataa ila jiulizeni wenyewe mulingia lini fainal kabla ya jana ๐๐
R
rebecca_anderson1ย week, 2ย days ago
Miraji Maramoja nakukubali. Keep it up boy.
N
nadiaaether41ย week, 2ย days ago
Miaka 2 ijayo Arsenal bingwa wa UEFA
vincent_keer1ย week, 2ย days ago
Miraji, Arteta is Confused, How can He give Gabriel the chance to take the last penalty, while He had the option of Madueke and Zubimendi? ๐๐๐๐๐
N
nadiaaether41ย week, 2ย days ago
Rice jana kazi yake kubwa ilikua kurusha tu mipira
ARSENAL WAMEKAA UANI 120 ZOTE๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Nkubali miraji na chagamba
Apo milaji sikubaliani na wewe ma legend wenyewe wamesema akuna fainal mbovu ambayo aijawai tokea Kama ya Arsenal na Psg Aswa Aswa Arsenal dakika saba baada ya kufunga goal walirudi nyuma na kuanza kulinda goal na Radha ya fainali ikaisha apo kiupande wangua fainal aija kua poa
Mara moja,naomba umwambie, Ali kamwe aache,ushamba,yeye ni mtu wa mpira lakin, jana kazingua kama vile, anawadai arsenal
Wewe nawe unakuwa mwongo mno
Fainali mbovu hii kwa arsenal
mm ni the blues๐ ๐ moyoni kutoka Mozambique ๐ฒ๐ฟ Simba โคโคdamu ila jana nimefurai sana maana tusingelala๐
Fainali bora??Nakataa
Chagamba nawaunga mkono kwahili
๐๐๐๐
Ss kama man u tutaendelea na kauli yetu mpaka wabebe uefa c.l ni ile tukikaa meza moja ya kudiscuss vitu muhimu utabidi tukae wenye uefa tu kama auna usije
Mwambie huyoo chagamba msimu ujao Man united tunachukua EPL na UEFA champions ๐๐
๐๐๐๐๐๐
Mashabiki wa Arsenal kuingia fainal tena 2046 kama kawaida yenu ๐๐๐๐ japo mtakataa ila jiulizeni wenyewe mulingia lini fainal kabla ya jana ๐๐
Miraji Maramoja nakukubali. Keep it up boy.
Miaka 2 ijayo Arsenal bingwa wa UEFA
Miraji, Arteta is Confused, How can He give Gabriel the chance to take the last penalty, while He had the option of Madueke and Zubimendi? ๐๐๐๐๐
Rice jana kazi yake kubwa ilikua kurusha tu mipira
Acha mamb wewe PSG ni tim bora sana
Psg oyeeeess