0:00
12:34
12:34

Yanga SC 3-1 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League 25/05/2026

Sports

Kiungo Allan Okello amefunga magoli mawili katika ushindi wa 3-1, Yanga dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Aliyeitanguliza Yanga kwenye mchezo huu alikuwa ni Duke Abuya, kabla ya Hassan Kabunda kuchomoa kipindi cha kwanza... na Allan Okello akapiga mawili kipindi cha pili.

ADVERTISEMENT
Comments 75 ianvoid39: Goli la pili la okello mgunda anasema cyo kweli😂😂😂