Kiungo Allan Okello amefunga magoli mawili katika ushindi wa 3-1, Yanga dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Aliyeitanguliza Yanga kwenye mchezo huu alikuwa ni Duke Abuya, kabla ya Hassan Kabunda kuchomoa kipindi cha kwanza... na Allan Okello akapiga mawili kipindi cha pili.
ADVERTISEMENT
Goli la pili la okello mgunda anasema cyo kweli😂😂😂
Asant yesu Asante wachezaji
Ila Mungu mkubwa jaman , hv Okello asingesajiliwa ingekuwajee round ya pili
Star Boy ni moto.Hongera Wananchi 🎉
Okello anapenda kujiamulia Mambo huyu anakera huyo 😂😂😂😂😂🎉
Okello jaman anaumiza sana yaan Huko
Kuna jamaa aliwai comment kuwa OKELO kila siku anaandika Ujumbe kwenye vest yake akifunga aonyeshe na hajawai funga na amesema hatofunga... Kila siku huwa najiuliza...Ni OKELO yupi aliyemkusudia yeye...?
Ukiona simba anaongoza ligi jua yanga hajacheza😂😂💚💚💚
Huyu Okelloalivyowaka hivi afutukimpata na Pacome kwenye fomu tunakua timu hatsri sana
Okelooooooooooooo oooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo mwamba kwell kwell
Katoto ka maajabu
Ila jamani me kuanzia leo natangaza mapenzi yangu lasmi kuwa naipenda yanga nili jificha kwa kipindi kirefu sana huyu okelo sio powa
Nobody is talking about Dukes goal
Yaa Balaka mpenja umenikosha sana ulivyotanhaza Goli la okelo la 3🎉
Goli la tatu you shangiliaji ya mpenja🎉🎉🎉🎉🎉
Mtangazaji nae asema chomekea watu waumie baba😂😂😂🤭
Hapana hiyo sasa sifaaa baba wanafungwa namungo wanaoumia maeneo mengi😂😂😂😂
Okelo baba hizi sasa ni sifa baba 😂😂
😂😂😂😂😂Okelo ww Okelo hapan hiyo sas ni sifa chomekea watu waumie anafungw namungo wanaoumia maeneo mengi😢😢😢 ilisikika sauti ya mtangazaji.
tazama unywele wa Mudathir unapepea namna hiii😅😅😅😅😅😅