KISA BASI LA SIMBA KIMENUKA STUDIO | HUYU JAYRUTTY ANAJUA KUWAKERA WATESI WA SIMBA | NYIE UWANJA VIP
ADVERTISEMENT
Comments 100
joanne.rose:
Mbona hata Benz inatumia jina la IRIZAR?
More Like This
3:57
🚨Padikkal Century Saves India🔥Batters Fail & All Rounders Shine|SL vs IND Warm Up Day 2 Highlights
Sports
467
7
9:47
MASHABIKI WA SIMBA WACHARUKA AHMED ALLY NI MUONGO "WACHEZAJI WABOVU SIMBA BADO
Sports
348
89
6:02
The Best Of Bruno Guimaraes In The Premier League
Sports
2.0k
0
0:52
Tielemans makes his Man United debut vs PSG (Man United vs PSG 1-1)
Sports
0
21
12:02
Arsenal vs Borussia Dortmund 3-1 Highlights - All goals – Friendly match 2026
Sports
424
1
0:38
Ranking Funniest Lamine Yamal Lookalikes 😭🥀
Sports
4.0k
0
8:31:05
Saratoga Live - Saturday August 8, 2026 - Whitney Day
Sports
1.8k
0
7:42:13
Caymanas Park Jamaica | Saturday, August 8, 2026
Sports
330
0
You've reached the end
Mbona hata Benz inatumia jina la IRIZAR?
Jamani hii ni sector ya watu wa usafirishaji!??? Ukienda pale stand ya mabasi magufuli utaelezewa. Kwenye usajiri. Gari inasajiriwa body sio mashine body ndio inasoma T ngapi. Injini hata ikiwa mpya haibadirishi usajiri. Ila ukiweka body tu gari litabeba usajiri mpya wa hilo body!!? Kwahiyo Irizar itasajiriwa kam iliza no matter iko kwenye chasis au njini gani. Sababu irizar inabebwa na volvo au scania. Sio mara ya kwanza inafanyika hata marcopolo. Zipo polo za Tata, polo z scania zipo polo za yutong.
Kutoka kuwa ni campany mbili tofauti haziwezi shilikiana kapewa ushaidi kabadilika tena
Sony Ericsson hii bidhaa vipi, Boeing/Locked Martin, Leydaf. Hizi bidhaa vipi. Kwami hakuna gari yenye rangi mbili kwenye cardi ya gari inaandikwa multicoloured
Marcopolo wanatumia Engine na chasis ya Tata na vinginevyo.
Jamaa hujui kitu fanya research kabla hujaongea
Kwa kawaida Irizar hawatengenezi injini zao wenyewe kwa mabasi mengi wanayotengeneza. Mara nyingi hutumia chassis na injini za kampuni nyingine kama: Scania Volvo Mercedes-Benz MAN Ndiyo maana unaweza kuona basi limeandikwa Scania Irizar au Volvo Irizar; injini na chassis ni za Scania au Volvo, huku body ya basi ikiwa ya Irizar. Hata hivyo, katika baadhi ya mabasi yao ya umeme ya kisasa, Irizar hutengeneza sehemu kubwa ya mfumo wa umeme wenyewe, lakini kwenye mabasi mengi ya dizeli yanayoonekana Afrika, injini huwa zinatoka kwa watengenezaji wengine.
Ipo gali moja na kampun mbili zimechangia mwambie salamba ache uyanga
Yan watu wazima mnakaa kumaliza bando la watu kuongelea magali ya club kwani wakisafiri na yutong si usafili tu acheni kuongelea vitu vidogo kwenye taifa linaloitaji vitu serious
Salamba dili na timu yako juu ya uwanja mwezi WA pili sasa
Iriza ni kampuni ya kuunda body sio gari Ndio utakuta Scania Volvo Benz zenye bodi ya Irizar
Salamba kwako ni wivu tuuu. Mafanikio ya Simba yanakuuma sana, pole na pole sana.
Hivi huyu qnqjuq anachoongea kweli? Toledo maalumu Ni hatati Zaidi ya matokeo ya kawaida. . Qnapambana nq Badi jipya la Simba. Muulizeni Kodi ya shs 200 Ni ya toleo la kawaida?
Basi la Real Madrid ina nembo 3 Nyuma imeandikwa Scania mbele ina Marcopolo na Nembo ya Scania kwa chini imeandikwa IRIZA kwa nini na Scania ni kampuni Pacha salamba Acha ushamba.
Irizar haitengenezi magari , inachukua tenda za kutengeneza bodi na interior features,
😂😂😂😂 huyu jamaa hata haelewi kuhusu magar anaongea tu
JUNA JEMA SALAMBA. UNASAGIA JAYRUT WEWE!
Iriza na Marcopolo ni watengezaji wa body-Brazil Scania ni watengenezaji wa chassis. Engine,gearbox nk.Nchi za Scandnavia
/wiki/Irizar Apart from its own integral vehicles range, Irizar works especially closely with Scania, having jointly designed the i4 body. Irizar bodies can also be found on other manufacturers' platforms, such as Iveco, MAN, Volvo, and Mercedes-Benz.
Sasa gari ya mwaka 2021 hiyo ni mbovu na imefikia garage