Video clip ikimuonesha Zari the boss akifuatilia kwa ukaribu pambano la Shakib Cham ambae ni mumewe dhidi ya Bondia Barista Timo. Pambano lililochezwa usiku wa kuamkia leo Jumapili katika ukumbi wa International university of East Africa ( IUEA) Uganda. Stori na @mkcalist_ #shakibcham #zaritheboss #bukizdigital
ADVERTISEMENT
Ukiskia tumbo la uzazi ndio hili sasa😂😂😂😂😂
Mm siwezi kbs kwenda kwenye pambano ikiwa mpenzi wangu au mume wanapambana haki mitazimia kabla ya pambano kumalizika 😂😂😂
Hapo sura umeonesha umri wake jamani
Pole na hongera kumkarage mume wako good woman
Kama Hamisa flani hv kwa mbaali
Nilikua naumia Mimi ety bahati nzuri kashinda 🎉🎉🎉🎉🎉
Kwahyo hapo huruhusiwi kuingia ukatoa mtu wko kama anapigwa aaah mm naingia namtoa naondoka naye😏🤔
Sjui kama hajaharisha
Yaani zari amepanick tumbo linauma tu
Weee mm swez tumbo joto jmn 😂
Atashindatu usiluhusu tumbo likuume
Lishaazeeka tayar
Mhmm siwezi kuangalia mume akipigwa magumi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zari amezeeka
😂😂😂😂😂😂
😢
Ila zari bwana ndio tumbo la uzazi linauma?
Iyo michezo hapana kwakweli
😂😢