HAJI MANARA AFURAHIA YANGA KUFUNGWA NA SIMBA/ AMCHANA MAKAVU ALIKAMWE UNALETA UTOTO KWENYE DABY.....
#battletv
ADVERTISEMENT
Comments 25
kristen_brooks:
Leo umeongea kweli
More Like This
9:49
MZINGA: Simba hesabu kali sana
Sports
185
0
0:48
MWAKITALIMA ACHARUKA N\SIMUJUI MAXI NZENGELI NI NANI
Sports
146
27
13:15
AMBOKILE: AZIZ KI NAMBA 10 BORA AFRIKA! ASIST YAKE INAWEZA KUPANDISHA VIWANGO LIGI,SHALULILE KIVUTIO
Sports
127
31
35:29
GB 64 AISOMA KATIBA MPYA YA SIMBA YENYE WAWEKEZAJI 3 / SITAKI MILION 5 AMLIPUA KISUGU NA MC GARAB
Sports
0
40
0:15
MAISHA YA MUSSA CAMARA UKO NI KUJIACHIA SIMBA WAMEPOTEZA BONGE LA KIPA
Sports
141
1
8:10
🚨💣 RECORD DEAL! CHELSEA FOR THREE! BALDE-UNITED AND LIVERPOOL DECISION! ENZO, JULIÁN, SARR, GUSTO…
Sports
7.3k
100
0:38
Unexpected Transfers.💀
Sports
36.4k
0
1:05
Messi Has His Legacy, But Ronaldo Is My GOAT 🐐🔥⚽
Sports
12.0k
100
You've reached the end
Leo umeongea kweli
Hiyo kweli alipoondoka Simba hawajapata ushindi Simba miaka 5 mpaka amelidi yeye mwenyewe
Facts 💯
😅😅😅😅
Mugati Rudi nyumbani. Wewe uwe kwenye kamati ya ufundi.
Unatumia Miguvu Mingi kuongea. Daahhh? Utakohoa. Mjini kutamu kweli.
Sasa usimba wa manara hapo uko wapi ikiwa kawaambia ukweli tu maneno kwenu ya kamwe sio mengi kuzidi kawaida na tena kawakumbusha mechi Hz kubwa si za kuzoea na kichwa wenu ni tia maji na hapo anawaweka sawa kosa lake lipii?isitoshe manara kaporwa tonge na eris unadhani hadi hapo y asifurahie Yanga kufungwa Ili hao ifike time waonekane hawafai ndivyo anavyotamani na sio kuipenda simba
SIJAELEWA SIMBA HAJAPATA USHINDI DHIDI YA YANGA AU? MAANA NAKUMBUKA SIMBA ALIMFUNGA YANGA MABAO 2-0. MABAO YALIFUNGWA NA HENOCK INONGA KWA KICHWA AKIUNGANISHA KONA, GOLI LA PILI ALIFUNGA KIBU DENIS KWA SHUTI KALI LA MBALI. MAGOLI YOTE YALIFUNGWA KIPINDI CHA KWANZA. MANARA TAYARI ALISHAONDOKA SIMBA, AKITUMIKIA ADHABU YA MIAKA MIWILI ALIYOPEWA NA TFF
Kweli kabisa kaka
Ingenieur Hersi wakati wakuleta mbinu mpya za club ndio uyu team aichezi vizuri na coach sio sababu wachezaji mnawasifu saana na kazi yao sio nzuri
Nyie wote wanafiki
Ugovi wake ni kumsema vibaya Mke wa Gharib ambaye ni boss wake
atachuwa mamayako matako koma kuisemeayangayetu mumbawewenasimbayako
Dogo ahmedi mdomo mdomo saana,makolo ataendelea kuwaburuza kwenye miiba saana,yanga mtaponzwa saana na kamwe,namwomba mungu tarehe 3 mtandikwe Kwa uwezo wa alllah
Unafaa kuwa mchambuzi wambie ukweli wa manala
Ww chai sana. Simba Hana uwezo wa kumfunga Yanga Mara mbili mfululizo. Save sms hii, Huyo Mkinga wengi anakufa bao 3.
Pinguza maneno simba atapigwa
Uongo huo,,Kwani Bugatti anasemaje? Kwani Kwa Sasa ana uongozi gani Yanga na bado yupo Yanga
Ww unachekesha sana. Ulitaka Manara asemeje??. Acheni ujinga huo. Acheni maneno mengi mpira Ndiyo ulivyo. Kapata kWa penalty Halafu mdomo mrefu.
Safi sana Manara wewe ni Simba upo vzr sana. Kwani tatizo liko wapi?wewe hujafurahia?mwache Bugati usimsumbue