#yangasc #yangatv #yangaleo #azamsports #mpenjatv #manaratv #mavalatv #ayomatv #scopemedia #spotikaonlinetv #Utvtanzania #battletv #Dafraonolinetv #kariakooderby #alikamwe #Maximumtv #M15tv #wasafi #wasafimedia #PmtvTanzania #Richmedia #CAFAwards #tetesizausajiliyanga #viralvideo #tetesizausajilisimba #mazoeziyayanga #yangatv #yangaleo #yanga #simba #simbaleo #simbatv #football #viralshorts #battletv #datasportstv #mbwaduke #yangascmedia #tanfootball #pecomezouzou #Wolfssportnews #Afcon2023 #tv3tanzania #millardayo #S500tv #uhondotv #mashwishwitv #diamonds #salamba
ADVERTISEMENT
Acheni uchochezi. Kipi Cha ajabu? Bodi ya ligi na TFF nao watozwe faini haiwezekani tuzo za msimu uliopita hazijatolewa mbona hili hamulichambui?
SIMBA ZANZIBAR WALITUMIA CHUMBA CHA WANAHABARI HAWAKUONA CHUMBA CHA KUBADILISHIA NGUO????
TFF NA BODI YA LIGI KAMA NI WAKWELI TAFUTENI ADHABU KALI ZAIDI LAKINI SIYO KULIPA FAINI YAPESA.
Si kwao au😂😂😂😂😂😂
Chamsingi waandishi wa habari msiwe wachochezi, toweni ushauri wakuwatafuta hao wanaowekea wenzao madawa.. ziwekwe cameras na kukaguliwa na kuweka ulinzi wakutosha..
Hayo ni majungu achane uchonganishi na umbeya
wapokwe points faini jambo jepesi kwao
Yanga miaka nenda rudi uchawi unawasumbua sana tff wawekwe adhabu team inaofanya hivyo iwe inakatwa point
Ninyi wanafiki achani hayo
Kama kuna wanaoweza nielewa, naomba hiking Michael tikigomee
Hii ndio maana yaujirani mwema,....kwajiraniiii😅😅😅😅
achen uxhamb nanyinyi ndo wale wale madunduka
Mgeyajua ayo Moira usingechezwa kwenye bwawa la mpungu sasa shida ipo wap
Tajen kias cha fain wanaichi tuanze michango chapu. Mhim point 3 . Malipo kwa wananchi Haina shida
Nyie vichaa acheni kelele
Semeni uchawi wasimba waliofanya tarehe 2 wakati yanga wakifanya mazoezi
achen uchochez mm uwa nawakubali lakin kwa hili mmezingua sana
Nyie sikuzote katika mpira mnangalia uzaifu tu hamsemi mazuri acheni izo
Nyie wachambuzi achini ushabiki mbona uwanja hamsemii na simba wakifanya
Ninyi vilaza tu