0:00
3:07
3:07

INJINIA HERSI, MZIZE WATINGA MAZOEZINI YANGA IKIJIANDAA KUIVAA SIMBA KESHO ISAMUHYO

Sports

Kikosi cha Yanga kimekamilisha mazoezi yake ya mwisho ya kujiandaa kwa mechi dhidi ya Simba itakayopigwa kesho, Mei 3, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, ikiwa ni muendelezo wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26. ‎ ‎Mazoezi hayo yamehudhuriwa na mshambuliaji Clement Mzize, ambaye kwa sasa ni majeruhi, pamoja na Rais wa klabu hiyo, Injinia Hersi Said. ‎ ‎Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga inaongoza ikiwa na pointi 47, huku Simba ikifuatia katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 42. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

ADVERTISEMENT
Comments 29 joshuaplume84: Hongera Rais wetu🙏. Tunawatakila kila la kheri kesho katika…