Kikosi cha Yanga kimekamilisha mazoezi yake ya mwisho ya kujiandaa kwa mechi dhidi ya Simba itakayopigwa kesho, Mei 3, 2026, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, ikiwa ni muendelezo wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26. Mazoezi hayo yamehudhuriwa na mshambuliaji Clement Mzize, ambaye kwa sasa ni majeruhi, pamoja na Rais wa klabu hiyo, Injinia Hersi Said. Katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga inaongoza ikiwa na pointi 47, huku Simba ikifuatia katika nafasi ya pili ikiwa na pointi 42. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
ADVERTISEMENT
Hongera Rais wetu🙏. Tunawatakila kila la kheri kesho katika mchozo wetu wa dabi. Naimani kwa uwezo wake Mola wetu tutashinda🙏💚💛
yanga 2 simba 1
Jaman kocha aache uoga😢, na wachezaji wacheze mda mwingi hakukua na haja ya kumtoa Pacome na Yao ile alhamis, Mungu atutangulie hakika 🙏
Nawaombea kher Leo inshallah lakin sure boy asikae acheze Leo alfu msikae nyuma kocha usiogope nguvu itumike n akili mbio pia matokea tutapata inshallah ❤
Juzi walishinda ila Leo hawachomoki
Mungu ibariki yanga❤
inshaallah
Uwanja taa zinaweka kivuli ,kweli hii nchi ni shida
simba leo kwisha habar yake.
Yaoyao alinifurahisha aliweza kumthibiti yule libesageye hakuweza kutembea ,alikuja kutembea baada uakumtoa yaoyao
🙄🙄
Kila la heri wapambanaji wetu,tunawaombeaa
Huyu rais au kocha, hkn uongoz wa hivo kutafuta sifa tuu 😂😂😂
Tuleteeni Sure boy uwanjani aisee! Ile ni first eleven kama sio super sub
Champions forever 🏆
Namkubali saana eng
❤❤❤
Huyo kochi anampila wa kizamani sana hawezi ifikisha timu kwenye International level
Presdent
Malengo ya yanga sio domestic league tu Bali Ni CAF competition Domestic tushachoka plz engineer Ingia vitani ulete watu 1: Girumugisha 2: Winga ya tip mazembe 3: Mid field ya Aseki 4: midfield ya horoya 5: beki moja ya Kenya