UCHAMBUZI STEVEN MAPUNDA | KAMATI YA MASAA72 YAAMUA MAPEMA PENATI YA SIMBA ILIKUWA BATILI
ADVERTISEMENT
Comments 49
karen_larson:
Good clarification 👍 ndugu yangu unatwanga maji kwenye kinu…
More Like This
7:21
#LIVE: YANGA SC VS AIGLES DU CONGO YANGA DAY LEO ( 1 - 2 )
Sports
0
0
0:31
Bruno Guimarães meets the Arsenal fans for the first time… 🥹🇧🇷
Sports
6.4k
78
8:06
Liverpool vs Monaco 2-3 All Goals & Highlights 2026
Sports
4.2k
100
20:39
Trinbago knight riders vs St. Kitts and Nevis Patriot's CPL Match 2 Full Highlights 2026
Sports
813
0
0:51
Ranking Funniest Basketball Moments 😭🏀 #basketball
Sports
23.0k
81
0:16
The Kindest Marathon Hero
Sports
0
100
0:17
Yamal Smart Penalty Trick 😱... #football #soccer #sport
Sports
4.7k
23
0:25
When Messi Dad Couldn’t Watch 🥺
Sports
23.1k
0
You've reached the end
Good clarification 👍 ndugu yangu unatwanga maji kwenye kinu wenzetu wanataka kolo apate ubingwa. Kanuni zinatumika kwa Yanga tu ,mahaba ya timu baba shida 😅
Hiyo ni mipango inayoanzia na kubarikiwa na tff na kamati zake ili simba awe bingwa
Big up kwako kaka mkubwa
Jamaa wew ni m2 wa soka sana big up sana mkuu
🎉🎉
Napenda sana mchambuzi akiwa muuzi na kuzungumza ukweli hongera kwako broo
Ingekuwa timu nyingine fain tayari lakini timu ya muhindi inabebwa lakini mungu ipo siku atawapa hukumu yao kwa dhuluma
Marefa some time hawawi makini, ndy mana inafika wakati waamuzi kutoka nje ya nchi wanapata kipaumbele kuchezesha ligi zetu za ndani.
😭😭😭😭😭😭
MIKIA FC WANABEBWA ILI WACHUKUE UBINGWA MSIMU HUU
Asante. Sana. Steven. Mapunda. Mchambuzi. Ngulu. Binafsi. Ninakukubali. Sana. Kwani. Hata. Kamati. Ya. Masaa. 72. Wataamua. Nini. Wakati. Wao. Ndo. Wanapanga. Matokeo? Mapunda. Hiyo. Ni. Mipango. Mkakati. Ya. Bodi. Ya. Ligi. Na. TFF. Kuona. YANGA. Hawachukui. Ubingwa. Mwaka. Huu. Hilo. Ndo. Jukumu. Kubwa. La. Bodi. Ya. Ligi. Na. TFF.
Unatumia media gani wewe jamaa???mbona husikiki na ni mchambuzi bore kabisaa
Je Kipenga Cha Mwisho Ana Sikia? Kipenga Cha Mwisho kumbe hajui Kuchambua ni Family Hongera kwa ufafanuzi
INGELIKUWA jambo Hilo linawahusu Yanga .Sheria ingefanya kazi ..lkn sio kwa Mtt mpendwa...
Upo sawaaa
Simba wanauharibu Mpira wetu hawapendi kuvunjiwa rekodi na yanga wanatumia sana Marefa wali iharibu sana ligi Mwaka jana walitumia sana Marefa na wana amini uchawi sana.
Hawana maamuzi sahihi marefariii wa bingo hawatoi😢
Waamuzi mazuzu watupu😢😢
Mchambuzi kama huyu ndio tunaowahitaji kwenye ligi yetu. Ila nawaamuzi wana timu zao nabodi ya ligi walishatoa maelekezo Simba awe bigwa.
Ingekuwa yanga masaa 72 wangelijadil na fain juu