Je wewe hujawaona wachezaji wa dodoma walivyoingia uwanjani. Hembu fanyeni haki
V
victoria_elliott3 weeks, 1 day ago
Hujui kuchambua Sheria upo kiyanga Yanga Sana haitakusaidia,tafuta kazi nyingine
keith_davis3 weeks, 1 day ago
Hiyo Nisimba Tuu Wamezidi Na Imani Hiyo Ila Hilo Nikosa La TFF Na Bodi Ya Ligi Kuaacha Kufanya Hivyo..
paulvaleon63 weeks, 1 day ago
Mwana yanga unajua kuchambua good
S
shawnbird2423 weeks, 1 day ago
Sasa uchambuzi unatusaidia nini wakati watu wana alama 3.
B
brittany.gutierrez3 weeks, 1 day ago
Kwaiyo akiongea ukweli unasema yanga kwaiyo kakosea kusema ukweli ulitaka awapongeze simba wakati wamefanya makosa ata refa wamefanya nakosa huyu ni mchambuzi anaongerea mpira na sio ushabik
G
grégoire_louis3 weeks, 1 day ago
Hawajui wapelekwe shule au refa ni duka?
helena_novais3 weeks, 2 days ago
Simba ina bebwa...iyo sio goli
M
melissa_haynes3 weeks, 2 days ago
Upo sahihi kabisaaaa
kabir_khalsa3 weeks, 2 days ago
MAREFA WA LIGI YETU WASIWE WATANZANIA INAWEZA KUSAIDIA HAPA WASILAUMIWE SIMBA TATIZO NI MAREFA
M
marthahaven43 weeks, 2 days ago
We.ni.yanga
S
stéphane_lagarde3 weeks, 2 days ago
We.ni.yanga
C
courtneyatlas823 weeks, 2 days ago
Simba wanauharibu Mpira wetu hawapendi kuvunjiwa rekodi na yanga wanatumia sana Marefa wali iharibu sana ligi Mwaka jana walitumia sana Marefa na wana amini uchawi sana.
M
martinemarion4313 weeks, 2 days ago
MPANZU AJAGUSWA KABISAA WALILUKA JUU YA KIPA AKAMGUSA KIPA
S
sarah.zuniga3 weeks, 2 days ago
Uyu jamaa anaitwa nani nimempenda
E
enzogabriel_pacheco3 weeks, 2 days ago
Wapuuzi ninyi
J
jayeden683 weeks, 2 days ago
INGELIKUWA jambo Hilo linawahusu Yanga .Sheria ingefanya kazi ..lkn sio kwa Mtt mpendwa...
R
rafaél_gastélum3 weeks, 2 days ago
Mapumda wewe umecheza Simba, lakini unaongea ukweli mkubwa sana watu kama nyinyi mnatakiwa mpate nafasi tff Kuna watu wako tff wnafanya kazi za hovyo kabisa, kwa mapenzi yatimu wanazozipenda, bila kufuata ufanisi za kazi zinzowapa mishahara inayotolewa na serikali, mbona Mzee Tenga hakuwa na mipango mibovu ya uongozi,
A
aliciabloom163 weeks, 2 days ago
Waamuzi mazuzu watupu😢😢
A
andrea_hodges3 weeks, 2 days ago
Umefafanua vyema mazuzu namakolo hawaelewi hicho ndio maanahunufaishwsnamarefa wamaagizo
Je wewe hujawaona wachezaji wa dodoma walivyoingia uwanjani. Hembu fanyeni haki
Hujui kuchambua Sheria upo kiyanga Yanga Sana haitakusaidia,tafuta kazi nyingine
Hiyo Nisimba Tuu Wamezidi Na Imani Hiyo Ila Hilo Nikosa La TFF Na Bodi Ya Ligi Kuaacha Kufanya Hivyo..
Mwana yanga unajua kuchambua good
Sasa uchambuzi unatusaidia nini wakati watu wana alama 3.
Kwaiyo akiongea ukweli unasema yanga kwaiyo kakosea kusema ukweli ulitaka awapongeze simba wakati wamefanya makosa ata refa wamefanya nakosa huyu ni mchambuzi anaongerea mpira na sio ushabik
Hawajui wapelekwe shule au refa ni duka?
Simba ina bebwa...iyo sio goli
Upo sahihi kabisaaaa
MAREFA WA LIGI YETU WASIWE WATANZANIA INAWEZA KUSAIDIA HAPA WASILAUMIWE SIMBA TATIZO NI MAREFA
We.ni.yanga
We.ni.yanga
Simba wanauharibu Mpira wetu hawapendi kuvunjiwa rekodi na yanga wanatumia sana Marefa wali iharibu sana ligi Mwaka jana walitumia sana Marefa na wana amini uchawi sana.
MPANZU AJAGUSWA KABISAA WALILUKA JUU YA KIPA AKAMGUSA KIPA
Uyu jamaa anaitwa nani nimempenda
Wapuuzi ninyi
INGELIKUWA jambo Hilo linawahusu Yanga .Sheria ingefanya kazi ..lkn sio kwa Mtt mpendwa...
Mapumda wewe umecheza Simba, lakini unaongea ukweli mkubwa sana watu kama nyinyi mnatakiwa mpate nafasi tff Kuna watu wako tff wnafanya kazi za hovyo kabisa, kwa mapenzi yatimu wanazozipenda, bila kufuata ufanisi za kazi zinzowapa mishahara inayotolewa na serikali, mbona Mzee Tenga hakuwa na mipango mibovu ya uongozi,
Waamuzi mazuzu watupu😢😢
Umefafanua vyema mazuzu namakolo hawaelewi hicho ndio maanahunufaishwsnamarefa wamaagizo