0:00
17:40
17:40

UCHAMBUZI STEVEN MAPUNDA | KAMATI YA MASAA72 YAAMUA MAPEMA PENATI YA SIMBA ILIKUWA BATILI

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 49

Sign in to join the conversation

Sign in
H
harryjames211 3 weeks, 1 day ago

Je wewe hujawaona wachezaji wa dodoma walivyoingia uwanjani. Hembu fanyeni haki

V
victoria_elliott 3 weeks, 1 day ago

Hujui kuchambua Sheria upo kiyanga Yanga Sana haitakusaidia,tafuta kazi nyingine

keith_davis
keith_davis 3 weeks, 1 day ago

Hiyo Nisimba Tuu Wamezidi Na Imani Hiyo Ila Hilo Nikosa La TFF Na Bodi Ya Ligi Kuaacha Kufanya Hivyo..

paulvaleon6
paulvaleon6 3 weeks, 1 day ago

Mwana yanga unajua kuchambua good

S
shawnbird242 3 weeks, 1 day ago

Sasa uchambuzi unatusaidia nini wakati watu wana alama 3.

B
brittany.gutierrez 3 weeks, 1 day ago

Kwaiyo akiongea ukweli unasema yanga kwaiyo kakosea kusema ukweli ulitaka awapongeze simba wakati wamefanya makosa ata refa wamefanya nakosa huyu ni mchambuzi anaongerea mpira na sio ushabik

G
grégoire_louis 3 weeks, 1 day ago

Hawajui wapelekwe shule au refa ni duka?

helena_novais
helena_novais 3 weeks, 2 days ago

Simba ina bebwa...iyo sio goli

M
melissa_haynes 3 weeks, 2 days ago

Upo sahihi kabisaaaa

kabir_khalsa
kabir_khalsa 3 weeks, 2 days ago

MAREFA WA LIGI YETU WASIWE WATANZANIA INAWEZA KUSAIDIA HAPA WASILAUMIWE SIMBA TATIZO NI MAREFA

M
marthahaven4 3 weeks, 2 days ago

We.ni.yanga

S
stéphane_lagarde 3 weeks, 2 days ago

We.ni.yanga

C
courtneyatlas82 3 weeks, 2 days ago

Simba wanauharibu Mpira wetu hawapendi kuvunjiwa rekodi na yanga wanatumia sana Marefa wali iharibu sana ligi Mwaka jana walitumia sana Marefa na wana amini uchawi sana.

M
martinemarion431 3 weeks, 2 days ago

MPANZU AJAGUSWA KABISAA WALILUKA JUU YA KIPA AKAMGUSA KIPA

S
sarah.zuniga 3 weeks, 2 days ago

Uyu jamaa anaitwa nani nimempenda

E
enzogabriel_pacheco 3 weeks, 2 days ago

Wapuuzi ninyi

J
jayeden68 3 weeks, 2 days ago

INGELIKUWA jambo Hilo linawahusu Yanga .Sheria ingefanya kazi ..lkn sio kwa Mtt mpendwa...

R
rafaél_gastélum 3 weeks, 2 days ago

Mapumda wewe umecheza Simba, lakini unaongea ukweli mkubwa sana watu kama nyinyi mnatakiwa mpate nafasi tff Kuna watu wako tff wnafanya kazi za hovyo kabisa, kwa mapenzi yatimu wanazozipenda, bila kufuata ufanisi za kazi zinzowapa mishahara inayotolewa na serikali, mbona Mzee Tenga hakuwa na mipango mibovu ya uongozi,

A
aliciabloom16 3 weeks, 2 days ago

Waamuzi mazuzu watupu😢😢

A
andrea_hodges 3 weeks, 2 days ago

Umefafanua vyema mazuzu namakolo hawaelewi hicho ndio maanahunufaishwsnamarefa wamaagizo