Na Bado......editin hata muweke mavyuma sisi na Simba damdam. Jay R oyeeeee
L
leon_rogers2 months, 1 week ago
Shida ni wivu wa Maendeleo na Kuna Mda Wengine Nao Wawaigilizie Simba sc kwa kinachoendelea. Simba sc wko mbali sana kwa Sasa kimaendeleo ya Mpira wa nchi yetu.
B
brunamacedo6332 months, 1 week ago
Me nampongeza sana Jay ruty kwakutekeleza ahadi zake alafu mti wenye ma2nda ndio unaopigwa mawe, Jay ruty Oyeeeeee
luisquesada5242 months, 1 week ago
Gari letu zuri bhan hayo maneno mengine hayatuhusu 😄😄😄
O
océane.blin2 months, 1 week ago
Wivu umeyajaaa mpaka kwenye mavi yao
A
andrea_hodges2 months, 1 week ago
Liwe jipya, used nyie mnalo???? Wivuuuuu tu. Wameedit ...mahasimu kawaida Yao.
S
shawn.henderson2 months, 1 week ago
Hata ni used ni ya simba sisi itatusaidia
A
aliciabloom162 months, 1 week ago
😮😮😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
R
raagini_dhar2 months, 1 week ago
Scania irizar used moja unapata Yutong la Yanga mabus mapya 10 na moja nyongeza
L
liesalangern862 months, 1 week ago
Sasa likitumika sisi wanasimba tufanyeje kwa maana hiz studio upuuzi mtupu hiv unaweza kuweka kipindi kwa ajiri ya basi la simba kweli.
D
daniel.cantu2 months ago
Anae sema yusd ninani? Kama sio hawa wamanjano wanao umwa maraliya siku zote ugonjwa huu wa maleria ukimpanda mtu kidogo akiri zake zinachanganyikiwa
D
daniela_campos2 months, 1 week ago
Ila wajameni simba na yanga kuchafuana na kuharibiana na kudhalilishana dah utani wa jadi umefikia huku, inasikitisha sana.
Na Bado......editin hata muweke mavyuma sisi na Simba damdam. Jay R oyeeeee
Shida ni wivu wa Maendeleo na Kuna Mda Wengine Nao Wawaigilizie Simba sc kwa kinachoendelea. Simba sc wko mbali sana kwa Sasa kimaendeleo ya Mpira wa nchi yetu.
Me nampongeza sana Jay ruty kwakutekeleza ahadi zake alafu mti wenye ma2nda ndio unaopigwa mawe, Jay ruty Oyeeeeee
Gari letu zuri bhan hayo maneno mengine hayatuhusu 😄😄😄
Wivu umeyajaaa mpaka kwenye mavi yao
Liwe jipya, used nyie mnalo???? Wivuuuuu tu. Wameedit ...mahasimu kawaida Yao.
Hata ni used ni ya simba sisi itatusaidia
😮😮😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Scania irizar used moja unapata Yutong la Yanga mabus mapya 10 na moja nyongeza
Sasa likitumika sisi wanasimba tufanyeje kwa maana hiz studio upuuzi mtupu hiv unaweza kuweka kipindi kwa ajiri ya basi la simba kweli.
Anae sema yusd ninani? Kama sio hawa wamanjano wanao umwa maraliya siku zote ugonjwa huu wa maleria ukimpanda mtu kidogo akiri zake zinachanganyikiwa
Ila wajameni simba na yanga kuchafuana na kuharibiana na kudhalilishana dah utani wa jadi umefikia huku, inasikitisha sana.
Gari Hilo liko sawa kabisa
Gali skuiz linauzwa dukani 😂😂
Sielw mm
Tangu lini basi likatumika kupakia samaki?