MASHABIKI WA YANGA WAMPONGEZA JAYRUTTY KWA KULETA GARI LA IRIZAR!! UKWELI KUHUSU IRIZAR KUWA SCANIA
ADVERTISEMENT
Comments 74
robertyadav686:
Nendeni katarama Iriza scania original mpya
More Like This
7:21
#LIVE: YANGA SC VS AIGLES DU CONGO YANGA DAY LEO ( 1 - 2 )
Sports
0
0
0:31
Bruno Guimarães meets the Arsenal fans for the first time… 🥹🇧🇷
Sports
6.4k
78
8:06
Liverpool vs Monaco 2-3 All Goals & Highlights 2026
Sports
4.2k
100
20:39
Trinbago knight riders vs St. Kitts and Nevis Patriot's CPL Match 2 Full Highlights 2026
Sports
813
0
0:51
Ranking Funniest Basketball Moments 😭🏀 #basketball
Sports
23.0k
81
0:16
The Kindest Marathon Hero
Sports
0
100
0:17
Yamal Smart Penalty Trick 😱... #football #soccer #sport
Sports
4.7k
23
0:25
When Messi Dad Couldn’t Watch 🥺
Sports
23.1k
0
You've reached the end
Nendeni katarama Iriza scania original mpya
Salamba una shida sana ww
Irizar works especially closely with Scania, having jointly designed the i4 body. Irizar bodies can also be found on other manufacturers' platforms, such as Iveco, MAN, Volvo, and Mercedes-Benz.
Acheni ushamba iriza inatengeneza bord engine wengine hamkui
Salamba inakuuma sana
Tatizo la wachambuzi wa sasa ni washabiki zaidi na sio kuchambua
Kuna Irizer Scania na Marcopoll Scania
Hiyo bus ni Scania ila body ndio iriza
Studio hii ina mawazo mgando zungumzeni mafanikii o acheni uyanga na usimba
Irizar ni body builder Hawatengenezi engine. Hakuna engine ya Irizar, Mambo ya magari hamjui lolote tafuteni Jambo linguine.
.....Salamba ni mshamba ..na anasumbuliwa Sana na mafanikio ya Simba .....yaaani Kama mchawi vile..........
Salamba nissan civilian ina engine ya Mitsubishi 4m50/51 hiko
Kujadiki ujinga eti uki zoom sasa umeiona au ni editng kama jezz mlivyo fanya
Hata hivyo, muonekano hutegemea kampuni ya usafiri na jinsi ilivyochagua kuweka nembo. Baadhi ya mabasi yanaonyesha nembo ya Irizar tu kwa uwazi, wakati mengine yanaonyesha zote mbili. Kwa mfano, unaweza kusikia mtu akisema “hili ni Scania” akimaanisha injini/chassis, na mwingine akasema “hili ni Irizar” akimaanisha body ya basi — wote wanaweza kuwa sahihi kwa basi hilo hilo.
Iliza n mtengenezaji wa bodies tu ndio maana ya azam ni benz kwa mafano marcoporo ipo kwa scania na tata ipo
Hao hawajui magari ndy maana wanaongea hvy. Ila roho mbaya inawauma sana
Ndio maana Kuna Toyota land cruiser.Toyota prado.Toyota ISTila zote Toyota
Kweli machoko wamekutana
We magari huyajui %100
Zipo biashara nyingi zinakuwa na chapa hizo chapa zinakuwa underliencese tu