TUMEKOSA KOMBE TUMEONDOKA NA KIATU CHA DHAHABU
ADVERTISEMENT
Comments 24
maríadelcarmenuribe801:
Hongereni Serengete Boyz tume jitahadi kwa za Allah Vivaa S…
More Like This
7:21
#LIVE: YANGA SC VS AIGLES DU CONGO YANGA DAY LEO ( 1 - 2 )
Sports
0
0
0:31
Bruno Guimarães meets the Arsenal fans for the first time… 🥹🇧🇷
Sports
6.4k
78
8:06
Liverpool vs Monaco 2-3 All Goals & Highlights 2026
Sports
4.2k
100
20:39
Trinbago knight riders vs St. Kitts and Nevis Patriot's CPL Match 2 Full Highlights 2026
Sports
813
0
0:51
Ranking Funniest Basketball Moments 😭🏀 #basketball
Sports
23.0k
81
0:16
The Kindest Marathon Hero
Sports
0
100
0:17
Yamal Smart Penalty Trick 😱... #football #soccer #sport
Sports
4.7k
23
0:25
When Messi Dad Couldn’t Watch 🥺
Sports
23.1k
0
You've reached the end
Hongereni Serengete Boyz tume jitahadi kwa za Allah Vivaa Serengete boyz Vivaa Tanzania 🇹🇿
Nmefrahi sana jana ❤❤
Sisi Senegal kwetu sherehee🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳🇸🇳🔥🔥🔥🔥🔥🌅
Yani mm nilikuwa naipenda sana serengeti kipindi wanapambana wenyew lkn ilipo anza hamasa yakushukuru shukuru upuuuz nikasema bc hakuna kombe hapa ndo yale yale wangewaacha wenyewe hakika wangechukua
Safi sana...vijana wamefika hatua nzuri kihistoria.
Ahadi zimewaheusha mpska kuanza kucheza kibinafsi kwa kufabya uchoyo wa kufunga nafasi nyingi tumepata kuliko wapinzani tumekosa utulivu. Ile counter take ya kutoa pasi kwa right wing akabiliane na kipa mtu anadrible mpaka beki imeshuka
Tulikuwa tunataka kombe kiatu cha dhahabu ni tuzo binafsi. Hongerani vijana mmeonyesha ushujaa kweli kweli
Sisi Senegal 🎉🎉🎉🎉
KAMDOMOOOO
Siasa isingeingilia mchezo hawa madogo wangerudi na kombe
Shida ilianzia pale kwenye hamasa, na nilisikia chawa mmoja anasema tunamshukuru "X" kwa kutuunganisha Watanzania.... nilibadili channel nisisikie ule upuuzi 😡😡
Bora tumefungwa
Ingekuwa taifa stars jana wangekula nyingi mno...ongeleni Serengeti boys 🎉🎉🎉
Ushindi ulikua wetu kabsa madogo nao waliona washashinda hata penalty wamepigaje sasa
Kwn tumecheza fainal ili tupate kiatu? 😢
Badala ya kumtanguliza MUNGU wanamtanguliza rs na mk bora tumefungwa na hii nafasi ikiwezekana tusiipate tena
✊️✊️🫡
Shida ilianzia pake mlipopeleka machawa eti kutia hamasa nwakati vijana wamefanya vizuri wakiwa wenyewe huko, mmefanya vijana wakawa waoga uwanjani wakicheza wanafikiria sura zenu huko majukwaani
Kwetu ni furaha pia.🎉🎉🎉 Ilikuwa lazima iwe hivo ili mpira utamatike🎉 hongereni sana
💎💎💎💎