0:00
1:59
1:59

FAINALI YA SERENGETI BOYS NA SENEGAL, MSEMAJI WA TIMU ZA TAIFA MANARA ASEMA "HATUFANYI SIASA"

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 19

Sign in to join the conversation

Sign in
B
brendanhollow27 1 week, 5 days ago

Mh

F
frédérique_weiss 1 week, 5 days ago

Nuksi

michelle_bryan
michelle_bryan 1 week, 5 days ago

Asante sana mama yetu, Mh Dr SAMIH Suluhu Hassan Rais wetu kipenzi,Kwa kujali nguvu za VIJANA wetu, Serengeti boys!!

R
raagini_dhar 1 week, 5 days ago

Hizo ndo siasa zenyewe sasa siku zote hakukua na msemaji wa timu mara ghafla kateuliwa baada ya timu kufika finale

R
robertvaleon36 1 week, 5 days ago

Hv niulize ktu kwa nn wasingetoa support tang mwanzo

irene.humphries
irene.humphries 1 week, 5 days ago

No ujinga Tu Samia ana ndege?

S
saravista28 1 week, 5 days ago

Mh Rais wa Jamhurinya muungano wa Tanzania ametoa ndege kwa ajili ya kwenda kuwachukuwa vijana wetu mashujaa wetu mfano wetu SERENGETI BOYS,,, hapa juzi mlimwandama sana waziri Makonda bungeni pale,,, haya sasa wewe baba levo, msukuma na wengineo semeni na hili...!!!!!!!!

D
daniel_garcia 1 week, 5 days ago

Well done support our serengeti team🎉

S
sierrahayes217 1 week, 5 days ago

Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena

C
christopher_moon 1 week, 5 days ago

Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena

danieladams607
danieladams607 1 week, 5 days ago

Mbona ndege imejaa?

gabinoirizarry390
gabinoirizarry390 1 week, 5 days ago

Ndge ni za TAIFA sio za Samia acha kutubwekea

D
daniel_garcia 1 week, 5 days ago

Daah na mm nipate offa ya free kwenye mdege huo mama

B
brunamacedo633 1 week, 5 days ago

nyie mnaenda kuwatia presha tu

R
rebecca_anderson 1 week, 5 days ago

Naona kama Nuksi 😢😢😢eeeeh Mungu tuepushie Watoto wetu na Siasa ila Maneno ya Haji nimeyaelewa 😅

kabir_khalsa
kabir_khalsa 1 week, 5 days ago

Nibora mngewaachat

C
cheyenne_brown 1 week, 5 days ago

Mungu awatangulie na awasaidie mshinde Mrudi na kombe Mungu wabariki vijana wetu Mungu ubariki Tanzania Amina

G
grégoire_louis 1 week, 5 days ago

wapigaji msemaji wa timu anatambulishwa baada ya kuingiia fainali😂

olivierdrift98
olivierdrift98 1 week, 5 days ago

Amiin 🎉