FAINALI YA SERENGETI BOYS NA SENEGAL, MSEMAJI WA TIMU ZA TAIFA MANARA ASEMA "HATUFANYI SIASA"
ADVERTISEMENT
Comments 19
cheyenne_brown:
Mungu awatangulie na awasaidie mshinde Mrudi na kombe Mungu…
More Like This
2:15
FEI TOTO MAZOEZINI SIMBA ZANZIBAR? JINA LAKE LATAJWA.....
Sports
126
0
2:56
🚨 Thierry Henry WARNS the Premier League! 😱 “Manchester United's Attack Is STACKED!” 🔴.
Sports
2.5k
0
8:09
Fernandes, Rashford and Mainoo | Teqball and Drills | Inside Training
Sports
15.0k
0
0:30
Ranking Funniest Lamine Yamal Lookalikes 😭🥀 | Part 2
Sports
7.5k
0
2:55
Ma'a Nonu responds to New Zealand's haka with one of his own 🤝
Sports
1.7k
100
12:30
HIGHLIGHTS | Sharks vs All Blacks | Greatest Rivalry Tour | Sky Sport NZ
Sports
1.0k
100
1:18:21
BIG WEDGE ONE MILLION POUND DROP GOLF CHALLENGE!
Sports
9.2k
100
0:12
The Best Feeling in Football… 😅
Sports
11.7k
0
You've reached the end
Mungu awatangulie na awasaidie mshinde Mrudi na kombe Mungu wabariki vijana wetu Mungu ubariki Tanzania Amina
wapigaji msemaji wa timu anatambulishwa baada ya kuingiia fainali😂
Amiin 🎉
Daah na mm nipate offa ya free kwenye mdege huo mama
Ndge ni za TAIFA sio za Samia acha kutubwekea
Naona kama Nuksi 😢😢😢eeeeh Mungu tuepushie Watoto wetu na Siasa ila Maneno ya Haji nimeyaelewa 😅
Nibora mngewaachat
Well done support our serengeti team🎉
Asante sana mama yetu, Mh Dr SAMIH Suluhu Hassan Rais wetu kipenzi,Kwa kujali nguvu za VIJANA wetu, Serengeti boys!!
Mbona ndege imejaa?
No ujinga Tu Samia ana ndege?
Mh
nyie mnaenda kuwatia presha tu
Nuksi
Hizo ndo siasa zenyewe sasa siku zote hakukua na msemaji wa timu mara ghafla kateuliwa baada ya timu kufika finale
Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena
Hv niulize ktu kwa nn wasingetoa support tang mwanzo
Mh Rais wa Jamhurinya muungano wa Tanzania ametoa ndege kwa ajili ya kwenda kuwachukuwa vijana wetu mashujaa wetu mfano wetu SERENGETI BOYS,,, hapa juzi mlimwandama sana waziri Makonda bungeni pale,,, haya sasa wewe baba levo, msukuma na wengineo semeni na hili...!!!!!!!!
Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena