Asante sana mama yetu, Mh Dr SAMIH Suluhu Hassan Rais wetu kipenzi,Kwa kujali nguvu za VIJANA wetu, Serengeti boys!!
R
raagini_dhar1 week, 5 days ago
Hizo ndo siasa zenyewe sasa siku zote hakukua na msemaji wa timu mara ghafla kateuliwa baada ya timu kufika finale
R
robertvaleon361 week, 5 days ago
Hv niulize ktu kwa nn wasingetoa support tang mwanzo
irene.humphries1 week, 5 days ago
No ujinga Tu Samia ana ndege?
S
saravista281 week, 5 days ago
Mh Rais wa Jamhurinya muungano wa Tanzania ametoa ndege kwa ajili ya kwenda kuwachukuwa vijana wetu mashujaa wetu mfano wetu SERENGETI BOYS,,, hapa juzi mlimwandama sana waziri Makonda bungeni pale,,, haya sasa wewe baba levo, msukuma na wengineo semeni na hili...!!!!!!!!
D
daniel_garcia1 week, 5 days ago
Well done support our serengeti team🎉
S
sierrahayes2171 week, 5 days ago
Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena
C
christopher_moon1 week, 5 days ago
Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena
danieladams6071 week, 5 days ago
Mbona ndege imejaa?
gabinoirizarry3901 week, 5 days ago
Ndge ni za TAIFA sio za Samia acha kutubwekea
D
daniel_garcia1 week, 5 days ago
Daah na mm nipate offa ya free kwenye mdege huo mama
B
brunamacedo6331 week, 5 days ago
nyie mnaenda kuwatia presha tu
R
rebecca_anderson1 week, 5 days ago
Naona kama Nuksi 😢😢😢eeeeh Mungu tuepushie Watoto wetu na Siasa ila Maneno ya Haji nimeyaelewa 😅
kabir_khalsa1 week, 5 days ago
Nibora mngewaachat
C
cheyenne_brown1 week, 5 days ago
Mungu awatangulie na awasaidie mshinde Mrudi na kombe Mungu wabariki vijana wetu Mungu ubariki Tanzania Amina
G
grégoire_louis1 week, 5 days ago
wapigaji msemaji wa timu anatambulishwa baada ya kuingiia fainali😂
Mh
Nuksi
Asante sana mama yetu, Mh Dr SAMIH Suluhu Hassan Rais wetu kipenzi,Kwa kujali nguvu za VIJANA wetu, Serengeti boys!!
Hizo ndo siasa zenyewe sasa siku zote hakukua na msemaji wa timu mara ghafla kateuliwa baada ya timu kufika finale
Hv niulize ktu kwa nn wasingetoa support tang mwanzo
No ujinga Tu Samia ana ndege?
Mh Rais wa Jamhurinya muungano wa Tanzania ametoa ndege kwa ajili ya kwenda kuwachukuwa vijana wetu mashujaa wetu mfano wetu SERENGETI BOYS,,, hapa juzi mlimwandama sana waziri Makonda bungeni pale,,, haya sasa wewe baba levo, msukuma na wengineo semeni na hili...!!!!!!!!
Well done support our serengeti team🎉
Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena
Kwisha tumeshavamiwa na wazee wa fursa hapa hamna kushinda tena
Mbona ndege imejaa?
Ndge ni za TAIFA sio za Samia acha kutubwekea
Daah na mm nipate offa ya free kwenye mdege huo mama
nyie mnaenda kuwatia presha tu
Naona kama Nuksi 😢😢😢eeeeh Mungu tuepushie Watoto wetu na Siasa ila Maneno ya Haji nimeyaelewa 😅
Nibora mngewaachat
Mungu awatangulie na awasaidie mshinde Mrudi na kombe Mungu wabariki vijana wetu Mungu ubariki Tanzania Amina
wapigaji msemaji wa timu anatambulishwa baada ya kuingiia fainali😂
Amiin 🎉