VIDEO: WATANZANIA WALIVYOTUA MOROCCO KUSHUHUDIA MECHI ya SERENGETI U-17 vs SENEGAL... @COSMA - DAR CC; BAKARI MAHUNDU ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
ADVERTISEMENT
Tangia wanaanza mashindano mlikua wap?? Sasa mnaona wamefika finally mnapeleka matumbo yenu...mnainda kuwatiwa watoto pressure tu hamna lolote
Hapa ndio tuna feli hawa jamaa wanaenjoy life huku mwananchi wa kawaida analia njaaa tayari timu ya taifa isha tiwa gundu hawazi tena kuchukua ubingwa
Mungu tunakuomba wasaidie vijana wetu washinde ili walete kombe Tanzania Amina
Mungu naomba wasaidie watoto wetu wachukue kombe historia iandikwe
KILA LA KHERI TANZANIA ❤❤
Mungu tusaidie Tanzania na team yetu ya Serengeti boys tubebe kombe
Sasa hao wazee wanafata nn huko wangeenda vijana jaman ila bongo duh
Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki Serengeti boys ❤❤❤❤
Sijaona watu wa shangwe
Viva Tanzania, viva President Samia 🎉
Mungu ni mwema sana
❤❤❤ kombe hili lipo mikononi mwetu japo hawa walo enda wakiwa na hamasa waache unyonge washlikiane kuwapa nguvu wa toto tanzania nguvu moja tunaowambea kwa nguvu zote ushindi ushindi ushindi ...... kombe kalibu tanzaniaaaaa
Walioeenda wanapatikanaje
Mh
Yaani ni wazee wstipu hakuna hata gijana wskwrnda kutia amshaamsha😂😂😂
Karia manara uyoooooo semaji la taifa
Ilitokea fainali nyingie,wapelekeni wale mashabiki wakujichora ndio washangiliaji wakweli, hawa ni v.v.i.p sidhani kama wanaweza kushangilia dk 90 wakiwa wamesimama
Hawa wanaenda kuchezea smart phone uwanjani nankipiga picha ,akuna mashabiki apa
Huyu baba anahekaheka sana😢😢
Aaaaa jamani! Mbona Mimi hamjajanishirikisha katika safari hii!?