Wachambuzi tunawaheshimu lakini ninyi mnajidharaulisha. Kwamfano unaandika kichwa cha habari ati Simba wamnasa kiungo hatari. Lakini ukifuatilia kwenye maelezo unakuta anasema ati simba wamfuatilia kiungo hatari. Sasa hii ni nini kama si upuuzi. Na pengine hasajiliwi kabisa. Shame on you.
A
angela_rodriguez2 weeks, 1 day ago
nikweli.maema.abaki
B
beth_burton2 weeks, 1 day ago
Kwa gharama yoyote simba ili isivuruge kiungo impe mkataba mwingine neo maema
gabinoirizarry3902 weeks, 1 day ago
HAMISI ILA CAMARA FUNDI UWONGO KWELI?
G
genaro.chavarría2 weeks, 1 day ago
Blaza kabwe nabi kamara nambayake halisia ninamba8 hata alipotoka alikua anacheza ivo ila anauwezo wakucheza km namba3
E
eshana.modi2 weeks, 1 day ago
Pamoja
J
jacqueline.long2 weeks, 1 day ago
uyu jamaaaaa napenda anavo chambua sanaaaaa yani anajua adi najisilia kujua mpira💪
Uwakika
Wachambuzi tunawaheshimu lakini ninyi mnajidharaulisha. Kwamfano unaandika kichwa cha habari ati Simba wamnasa kiungo hatari. Lakini ukifuatilia kwenye maelezo unakuta anasema ati simba wamfuatilia kiungo hatari. Sasa hii ni nini kama si upuuzi. Na pengine hasajiliwi kabisa. Shame on you.
nikweli.maema.abaki
Kwa gharama yoyote simba ili isivuruge kiungo impe mkataba mwingine neo maema
HAMISI ILA CAMARA FUNDI UWONGO KWELI?
Blaza kabwe nabi kamara nambayake halisia ninamba8 hata alipotoka alikua anacheza ivo ila anauwezo wakucheza km namba3
Pamoja
uyu jamaaaaa napenda anavo chambua sanaaaaa yani anajua adi najisilia kujua mpira💪