ALLY KAMWE "RATIBA NI NGUMU/SIMBA SC WATACHEZA MECHI SAA NANE/UBINGWA UPO MIKONONI MWETU/TUAMUE SISI
ADVERTISEMENT
Comments 25
caitlin_macdonald:
Yote mpka sasa ligi haijaisha nikwasababu wamekwepa kumpa s…
More Like This
2:15
FEI TOTO MAZOEZINI SIMBA ZANZIBAR? JINA LAKE LATAJWA.....
Sports
126
0
2:56
🚨 Thierry Henry WARNS the Premier League! 😱 “Manchester United's Attack Is STACKED!” 🔴.
Sports
2.5k
0
8:09
Fernandes, Rashford and Mainoo | Teqball and Drills | Inside Training
Sports
15.0k
0
0:30
Ranking Funniest Lamine Yamal Lookalikes 😭🥀 | Part 2
Sports
7.5k
0
2:55
Ma'a Nonu responds to New Zealand's haka with one of his own 🤝
Sports
1.7k
100
12:30
HIGHLIGHTS | Sharks vs All Blacks | Greatest Rivalry Tour | Sky Sport NZ
Sports
1.0k
100
1:18:21
BIG WEDGE ONE MILLION POUND DROP GOLF CHALLENGE!
Sports
9.2k
100
0:12
The Best Feeling in Football… 😅
Sports
11.7k
0
You've reached the end
Yote mpka sasa ligi haijaisha nikwasababu wamekwepa kumpa simba mechi black to black kma yanga sisi tulipitia ili tupoteze tunajuwa hilo tushikamane wanayanga tuchukuwe ubigwa
Nawatakia kila la kheri Yanga ktk michezo yao yote iliyobaki;Mungu awe nanyi!
TFF waache siasa...Mapinduzi cup ichezwe na timu za Zanzibar pekee, Muungano ifutwe ili kuondoa mbanano wa ratiba ambao unaepukika.
Yanga bingwa
Nawapata vyema nikiwa mbeya chunya itumbi mungu awabaliki sana hapo studio
Kwa uwezo wa M/Mungu atatufanyia wepesi kwenye michezo yetu Inshaallah
Yanga bingwa
Mungu ibariki yanga❤❤❤
Aamina Inshaallah
Moto sana ali
UNASEMA HATMA YOA IMESHIKILIWA NA AZAM KWA MASHUJAA UMETOBOA
Mbona ulaya ligi zina team 20 na wanamaliza ligi mapema
Tunawakanda tena Kwa mara nyingine Bora mjivunje ndio itakuwa salama yenu
Ratiba ngumu,imetokana na menegment mbovu ya bodi ya ligi na Tff --- mara kombe la mapinduzi,mara kombe la Muungano -- hizi tournament " ndizo zilizo sababisha huu msongamano " msimu mwingine,makosa haya,yasirudiwe.
Yanga haiwezi kuifunga Azam
Goli zuri kama la mwamnyeto
YANGA BINGWA
Azamu nini kwa sasa we sbama kafubwa na azamu
We smba choko
Mashabiki wa simba huwa hamnaga hakili ubingwa mnategemea yanga afungwe asipofungwa mnapataje ubingwa mpo nyuma point 2 pia magoli mpo nyuma