WHO AM I ? | MIMI NI NANI ? EP 04 || BINTI MALAIKA
WHO AM I? MIMI NI NANI? Kai anaokoa Msichana wa ajabu aliyekuwa karibu kubakwa na Wahuni, kisha anampeleka nyumbani kwake bila kujua kuwa ameingiza siri kubwa ndani ya familia yake… Tatizo ni kwamba huyo Binti hajui yeye ni nani. Hana kumbukumbu ya maisha yake, lakini ana uwezo wa kushangaza usio wa kawaida… anaweza kusoma watu na kuona matukio yao yaliyopita. Kadri anavyoanza kuishi nyumbani kwa Kai, anagundua ukweli wa kutisha… Mke wa Kai anashirikiana na Mwanaume wake wa nje kupanga kumuua Kai kwa siri! 💔🔪 Je, huyu Binti ni nani hasa? Ni Malaika au laana? Kai ataamini ukweli kabla hajachelewa? Na nini kitatokea siri zote zitakapofichuka? Tamthilia yenye suspense kali, mapenzi, usaliti na nguvu za ajabu zitakazokuacha ukisubiri episode inayofuata kwa hamu! 🔥 Tazama sasa WHO AM I? kupitia BUSATI TV 💥