WHO AM I? MIMI NI NANI? Kai anaokoa Msichana wa ajabu aliyekuwa karibu kubakwa na Wahuni, kisha anampeleka nyumbani kwake bila kujua kuwa ameingiza siri kubwa ndani ya familia yake… Tatizo ni kwamba huyo Binti hajui yeye ni nani. Hana kumbukumbu ya maisha yake, lakini ana uwezo wa kushangaza usio wa kawaida… anaweza kusoma watu na kuona matukio yao yaliyopita. Kadri anavyoanza kuishi nyumbani kwa Kai, anagundua ukweli wa kutisha… Mke wa Kai anashirikiana na Mwanaume wake wa nje kupanga kumuua Kai kwa siri! 💔🔪 Je, huyu Binti ni nani hasa? Ni Malaika au laana? Kai ataamini ukweli kabla hajachelewa? Na nini kitatokea siri zote zitakapofichuka? Tamthilia yenye suspense kali, mapenzi, usaliti na nguvu za ajabu zitakazokuacha ukisubiri episode inayofuata kwa hamu! 🔥 Tazama sasa WHO AM I? kupitia BUSATI TV 💥
ADVERTISEMENT
Hii WHO AM I imeingia kwenye top 5 ya video zangu pendwa,,, ila Sasa tatizo lenu mnafanya video fupi sanaaa... Yani dakika 15 tuu🤔, humo humo matangazo mafupi... apana kwakweli.. Ongezeni mda walau dakika 25 mpaka 35. Itakua Unyama 🔥🔥
Ila ya leo imekua fupi jmn😢😢😢😢 au ndo nimenogewa 🙌🙌🙌 Tuongezeeni muda kidogo hii ni next level
Leo nimewai kazi nzul sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Inamaana kwenye iyi movie watu amna tabia yaku like ma comment ? Ila nawapenda saana ❤❤❤❤❤❤
Kai House of Love iko wp 😂😂😂
Happy new month to all funs ❤❤❤
tuongezeni dakika thafadhali from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MY BEST HORROR DRAMA OF THE YEAR🎉
Mr kai kazi nzuri san bro ♥️ 🙌
Haaaaa Leo wa kwanza duh
Waaaaaaaaaaaaaah 😂😂😂😂😂hii hatari
Kazi nzuli jamani lakini dakika chache sana jamani wangapi tunasapoti watuongezee dakika maaba kwaupande wangu naona inakuwa fupi
Ilauyu kibaka naomba mungu mala ika amuazibu vikari kwavituvanavo vifanya maana kamaso yeye ningeha bakwa daaah😢😢😢
Kai na dolly nani anaempanda mwenzake kichwani
Mpenzi mbao imekuingia poa 😂
Kwani house of love iko wapy
Eti usipigwe kisa mimba kwan mimba kitu gn ata chula anayo ningekua me ndo kai ningekunyoosha aswaaaa kichaaaa
Huyu Malaika kajua nifurahishe san kaaz kuwazib wabakaji jaman nimemuon malaika Leo live anamabaw akipaa 😂😂 Noma 🔥 🔥🔥 Kai pia Leo kajitutumia kampig mkew ila Kai mimba sio Yako Hiyo ni abby😢
Aseee jamani hii movie ni Kali kasa hongereni sana mloshiliki kazi nzur❤❤❤❤
Sema mm team mbakaji jamaa noma sana yani