Walikuja kutafuta Location kwa ajili ya kufanya Movie yao ndani ya huo MSITU… lakini wakapatikana wao wenyewe. MSITU una masharti. Ukiyavunja, hauondoki kama ulivyoingia. MSITU 🌲 #MSITU #HorrorKiswahili #MovieYaKutisha #AfricanHorror #SwahiliHorror #ForestHorror #SeriesYaKutisha #Episode1 #Laana #BongoMovie #DarkFolklore #scarymovies #netflix #2026 #actionmovies #bongoseries
ADVERTISEMENT
Mwenyezimungu fungua milango ya huyu anae soma comment hii🤲🤲🤲 lililo humu kwake likawe jepesi, Milango ya baraka na uchumi zikafunguke juu yake, kama ni mgonjwa umponye na kampe afya njema amiin.
Wasenge kazi imewashinda!, Tunakaa hapa kisubiria dk 19 kwa wiki tatu.
Daaaah nataman nimuone mwalimu avunje masharti ili apate na yy adhabu kama unakubali gonga like apo
Tunaokimbia mimba tujuane ila jua kama muda autusubili sisi
Nami nipate likes leoo😢🎉
Arbet jaman so vizuri bwan😢😢
naomben mnisaidie kumwambia huyo kijana mpole mpole afu ana busara siwez ishi bila yeye
Ivi albert anashida gan uyu jaman 😂😂😂🙌
😂😂😂😂😂😂 ALBERT unapenda kupiga FUNYOXY alafu waogopa matokeo
Mnachelewa sana kutoa epsodi inayofuata kama mmeshindwa malizeni bc tujue imeisha mnazingua
Pia Munachelewesha Kutoa Mwendelezo Wiki mbili kweli
Ila albert atamuuwa mwenzie😢😅😅😅😅
Tunaoangalia tukiwa kitandani like 🎉🎉🎉
Kwa nini hii movie imeitwa MSITU?? Bora ingeitwa tu VISA VYA ALBERT NA JAY 4😂😂😂
Mbn nguo Albert habadilish😂
Mumeona Leo niwee wa kwanza likes naitaji ama nikuchee minguu adi tz from Kenya much love
Kazinzuri Sana
Sema na nyie mnachelewa sana kutoa bhana
Wah na imekaa sana jameni
Nimesubiri sana Ila nimefurai sasa🥰🇨🇩🇨🇩🔥