Napenda mose anavyojibu walah ana confidence Leo ila ameweka kamnywesho kidogo ili interview iwe rahisi😂😂😂na ameweza kwa kweli
judithdrift462 months, 1 week ago
Moze hii interview ameiweza imeitawala interview claps for him👏👏👏👏👏
S
saanvi.sha2 months, 1 week ago
Huyu ata majib yake hayana adabu ata kidg.
C
cynthia.horn2 months, 1 week ago
Akuna kitu hapo mwanaume hovyo Sana bora ant alivyojitoa
H
hans-hinrichhendriks2642 months, 1 week ago
Mose ana dharau 🙌
dagmarcascade312 months, 1 week ago
Iyobo anaongea kama Michael jackson😂😂😂😂😂
C
charles_renard2 months, 1 week ago
Wewe Aaliyaah acha uongo wewe ulikuwa unachepuka na Diamond na tanasha alikuwa bado yuko na Diamond mshenzi
S
shawnbird2422 months, 1 week ago
Hii interview imeniboa sana 😔😔
S
steven.leon2 months, 1 week ago
Mbona yuko hivi😢wasi wasi na kujishuku..anamuwaza Aunty mda wote
K
karen_larson2 months, 1 week ago
Tusichokielewa kuwa mose kama ile nyumba inajina lake inamaanisha itakuwa mali yake na huyo mkewe na mtoto wake. Ila hata watoto wake wajao watakua na umiliki na nyumba hiyo. Atakao jaaliwa huko na wanawake wengine. Watarithi mali ya baba
D
dawn_horton2 months, 1 week ago
Mmmh siiifa kama mdada
S
sébastienraven352 months, 1 week ago
Ila Moze bana😂😂bado kidogo awatoe mchezoni watangazaji😂😂eti anawacontrol
G
graciela_morales2 months, 1 week ago
Jamani mwanaume au
virginiedelta142 months, 1 week ago
Huyu hata nipewe bure apana😂😂😂
caitlin_macdonald2 months, 1 week ago
Mmh tatizo ndio maana uliachwa jaman ndio Nini Sasa
matthewmist722 months, 1 week ago
Safiii kwa kujua kuwatetea vijana kwenye suala la riziki kuongea kwa sauti hyo sio kosaa ata kuwa na amani kwa sababu unajivunia unachokipata kwa kujituma
S
sherrybaker7922 months, 1 week ago
Mshambaa mose
danieladams6072 months, 1 week ago
Mashauzi mengiiii duuuuh😂😂😂
J
joe_hammond2 months, 1 week ago
Uyu ana shida sehemu sio bure. Ana tatizo la afya ya akili na yule demu wake
micheal_santiago2 months, 1 week ago
Ww kijana mose i love u, simama na misingi yako kbsaaaa🎉🎉🎉🎉, i like u
Napenda mose anavyojibu walah ana confidence Leo ila ameweka kamnywesho kidogo ili interview iwe rahisi😂😂😂na ameweza kwa kweli
Moze hii interview ameiweza imeitawala interview claps for him👏👏👏👏👏
Huyu ata majib yake hayana adabu ata kidg.
Akuna kitu hapo mwanaume hovyo Sana bora ant alivyojitoa
Mose ana dharau 🙌
Iyobo anaongea kama Michael jackson😂😂😂😂😂
Wewe Aaliyaah acha uongo wewe ulikuwa unachepuka na Diamond na tanasha alikuwa bado yuko na Diamond mshenzi
Hii interview imeniboa sana 😔😔
Mbona yuko hivi😢wasi wasi na kujishuku..anamuwaza Aunty mda wote
Tusichokielewa kuwa mose kama ile nyumba inajina lake inamaanisha itakuwa mali yake na huyo mkewe na mtoto wake. Ila hata watoto wake wajao watakua na umiliki na nyumba hiyo. Atakao jaaliwa huko na wanawake wengine. Watarithi mali ya baba
Mmmh siiifa kama mdada
Ila Moze bana😂😂bado kidogo awatoe mchezoni watangazaji😂😂eti anawacontrol
Jamani mwanaume au
Huyu hata nipewe bure apana😂😂😂
Mmh tatizo ndio maana uliachwa jaman ndio Nini Sasa
Safiii kwa kujua kuwatetea vijana kwenye suala la riziki kuongea kwa sauti hyo sio kosaa ata kuwa na amani kwa sababu unajivunia unachokipata kwa kujituma
Mshambaa mose
Mashauzi mengiiii duuuuh😂😂😂
Uyu ana shida sehemu sio bure. Ana tatizo la afya ya akili na yule demu wake
Ww kijana mose i love u, simama na misingi yako kbsaaaa🎉🎉🎉🎉, i like u