#Bhailam ⭐ Disclaimer This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel! Subscribe hapa : https://www.youtube.com/@Bhailamkhan/ Subscribe to Comedy Plus: https://www.youtube.com/@ComedyPlustz/videos Like Ukurasa wetu wa Facebook :https://www.facebook.com/Comedyplustz/
ADVERTISEMENT
Safi sana bhailam haucheleweshi episode tutaendelea kukusuport
Yani km kuna kitu kinaudhi ni ile mtu usiye mpenda ana kusumbua halafu we umekasirika ye ana chekacheka😅😅😅😅
Wapili leo from USA 🇺🇲 nahomba like zenu
Mkaka atakae gusa comment yangu tunaoana nimechoka kuwa single😂😂😂
Genius pale alitaka kusema acha use😂😂😂 akasita
Ati kashatafunwa
Ndomana alibakwa huyu mtoto amechangamka sana 😂😂😂😂😂kama mbilimbi😂😂😂😂😂😂
Huyu atuliagi nyumban muda wote kuchungulia mapenzi ya watu ndomana alibakwa😂😂😂😂😂
Wangapi wanamshukulu mungu kama mm kwa kufika talehe ya kama ya Leo 1,/6/2026 mungu tubariki kwa pamoja❤❤❤❤❤
Tunakupenda sana bhailam hapa rwanda ❤❤❤❤❤❤❤ kazi nzuri tunatamani filamu yako ifike kama episode 300 fanya uwezavyo tukufuatilie
Hii scene ya Mzee simba safari hii mmempa ngumu😂😂
Mungu ametupa pumz amin❤❤
Napenda sana uu muvi ❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nan kamuona king'ong'o😂😂😂
Hongera bhaila kwa kz nzuri
Mxee simba namwanao hovyoookweli 😂😂😂😂
Pamoja mr bhailam but genius aongeze ubunifu
Brother uko vizuli sana Yani ualeta mzigo kwa wakati
Leo Me Genius ameanza kuzingua kuongea aache mambo hayo kabisaaa😂😂😂😂😂
Dduuuh uyu mzee simba anazingua kumtongoza naomii 😢 anataka apokonye mali ya bhailan😂😂