The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : [email protected] Contact : +255 716 051 853
ADVERTISEMENT
The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : [email protected] Contact : +255 716 051 853
Hapo kwenye kuchoka wachezaji ni kweli bhanaa, wachezaji wetu wamechoka wala siyo uongo, wafanye usajili haswa. Panga lipite.
Mchome On Fire 🎉🎉
Hapo umesema ukweli mchome
Tatizo wachabuzi siiwakweli leoutaskia ivi keshoivi keshokutwaivi tunataka ukweli
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu mtangazaji anatumwa na nani, na haya maswali yake anashauriwa na nani. Haongei mpira ni unafiki tu. Yanga, yanga yanga, du! Jadili mpira bwana.
Mchome wekaaa maweee korogaa zegeee naaZeege halilaali.Tweende maaJobs eee job is jobs any job is work. Sasaaa hapooo embuu wekaaa matofalii juu juuZaidii😅😅😅😅😅😅
binafsi fadru Akija yanga Itakuwa vizur Azizi kii sisapot kurud yanga mayele kurud yanga Ni sahihi
Yang bingwaa
Yanga hawawezi kumsajili mchezaji kuanzia bil 2 ,wamemshindwa Gilmugisha wa bil 3 wakakimbia kimoja
Yanga hatuwezi kumchukua Fadru hamna kocha mule
Mbona mchome kama anaangalia angalia huko nyuma?? Anaogopa nini 😂😂
Hicho kichwa ni cha Mpemba kabisa😅😅😅😅
Mchome wewe ni Yanga, umesema wa Yanga kwenda Simba na Wa Simba kuja Yanga😂
Mnasema yanga akipoteza je simba akipoteza?😂