Nani amehisi mina ally anaelezea kwa hasira sana mpaka anatetemeka
S
saravista282 months, 2 weeks ago
Mbona una hema sana ...relax😂😂😂😂 mchezo huu hauitaji hasira
W
wandamyst12 months, 2 weeks ago
Ulitueleza goli la chama zuri mbona ukutuambia goli la mild ayo
M
marcelladörschner4832 months, 2 weeks ago
Nilitegemea kupata na majibu ya upande wa pili, lakini nasikitika sikuwekewa.
D
daniel.cantu2 months, 2 weeks ago
Sasa mbona za one side 🤣🤣
R
rebecca_anderson2 months, 2 weeks ago
Mbona story ni upande mmoja tuu, Ally nae aongee !!!!
kabir_khalsa2 months, 2 weeks ago
Waandishi, askari na watu wengine kama hao, huona kama wana haki kuliko watu wengine wote. Muandishi akikosea na anapokosolewa hujilinda kwa kusema alikua anafanya kazi yake kama ilivyo kwa askari. Kua muandishi au askari hakukufanyi kua malaika usiekosea. Huyu meena alikosea na anaendelea kukosea. Inaonekana ana tatizo katika mfumo wake wa utambuzi.
M
manyadaylight52 months, 2 weeks ago
Mungu atakulipa minaali kwahugawako
S
sergioserna5992 months, 2 weeks ago
Ivi hakujibiwa?
B
bryanmyst972 months, 2 weeks ago
MBONA MAJIBU YA ALIKAMWE HAMUWEKI
L
leonard_bender2 months, 2 weeks ago
Ile sauti ya nani ilikuwa inasema unaharabu ni ya nani?
M
maríadelcarmenuribe8012 months, 2 weeks ago
We mwandish hutumi akili unachonganisha watu Majib ya Ally yakowap tumia talanta vzr
R
robertyadav6862 months, 2 weeks ago
Kuna mda kumtetea Ally Kamwe ni kazi Jaman 😂😅😂😅
E
ethan.santos2 months, 2 weeks ago
Good listening Ally
L
liabeier2612 months, 2 weeks ago
Mina umeongea saanaa ila ni malalamiko tu na kujitetea
V
vasudha_khanna2 months, 2 weeks ago
Mina you are so smart
M
michelle.ortega2 months, 2 weeks ago
MEENA HIVYO VYOTE ULIMUULIZA KWA KIINGEREZA DAAH POLE SANA MEENA WEWE NI NINJA NA NI MNOMA😊😊😊😊😊
R
ray_lewis2 months, 2 weeks ago
Alikosea Angemuonyesha na goli la mwamnyeto ili utoporo waridhike maana hakuna goli kwao la kumuonesha😅😅😅😅😅😅 utoporo basi tu
L
lucieadam192 months, 2 weeks ago
Mina umekosea mama ungeongea English hilo ni Dish lilioyumba.
Nani amehisi mina ally anaelezea kwa hasira sana mpaka anatetemeka
Mbona una hema sana ...relax😂😂😂😂 mchezo huu hauitaji hasira
Ulitueleza goli la chama zuri mbona ukutuambia goli la mild ayo
Nilitegemea kupata na majibu ya upande wa pili, lakini nasikitika sikuwekewa.
Sasa mbona za one side 🤣🤣
Mbona story ni upande mmoja tuu, Ally nae aongee !!!!
Waandishi, askari na watu wengine kama hao, huona kama wana haki kuliko watu wengine wote. Muandishi akikosea na anapokosolewa hujilinda kwa kusema alikua anafanya kazi yake kama ilivyo kwa askari. Kua muandishi au askari hakukufanyi kua malaika usiekosea. Huyu meena alikosea na anaendelea kukosea. Inaonekana ana tatizo katika mfumo wake wa utambuzi.
Mungu atakulipa minaali kwahugawako
Ivi hakujibiwa?
MBONA MAJIBU YA ALIKAMWE HAMUWEKI
Ile sauti ya nani ilikuwa inasema unaharabu ni ya nani?
We mwandish hutumi akili unachonganisha watu Majib ya Ally yakowap tumia talanta vzr
Kuna mda kumtetea Ally Kamwe ni kazi Jaman 😂😅😂😅
Good listening Ally
Mina umeongea saanaa ila ni malalamiko tu na kujitetea
Mina you are so smart
MEENA HIVYO VYOTE ULIMUULIZA KWA KIINGEREZA DAAH POLE SANA MEENA WEWE NI NINJA NA NI MNOMA😊😊😊😊😊
Alikosea Angemuonyesha na goli la mwamnyeto ili utoporo waridhike maana hakuna goli kwao la kumuonesha😅😅😅😅😅😅 utoporo basi tu
Mina umekosea mama ungeongea English hilo ni Dish lilioyumba.
Meeena ulizingua