HAJI MANARA AKITEMA CHECHE BAADA YA KUTEULIWA KUWA MSEMAJI/AWATAJA ALLY KAMWE NA AHMED ALLY
ADVERTISEMENT
Comments 42
william_grant:
Timu ya taifa ikifanya vizuri tu, watanzania wataipenda tu,…
More Like This
1:52:31
🔴 LIVE: NAMUNGO FC VS YANGA SC | MAJALIWA STADIUM
Sports
164
0
1:39:29
🔴LIVE: NAMUNGO FC vs YANGA SC LIGI KUU TANZANIA BARA MATANGAZO NA UCHAMBUZI PART 02.
Sports
233
0
1:59:21
🔴#TBCLIVE: NAMUNGO FC (1) - (3) YANGA SC, UWANJA WA MAJALIWA, LINDI
Sports
358
0
6:00:53
#LIVE WANANCHI WAUTEKA UWANJA KMC UTAMBULISHO WA X-FACTOR YANGA | RAIS ENG. HERSI ANAONGOZA SHUGHULI
Sports
4.2k
0
12:30
HIGHLIGHTS | Bulls vs All Blacks | Greatest Rivalry Tour | Sky Sport NZ
Sports
1.0k
100
0:12
POV: first pass is free #soccer #soccerplayer
Sports
8.4k
53
4:07
Singapore 1-3 Thailand | ASEAN Hyundai Cup 2026 | Match Highlights
Sports
1.5k
0
0:36
Anthony Hudson and Gavin Lee in heated exchange after Singapore-Thailand clash
Sports
135
42
You've reached the end
Timu ya taifa ikifanya vizuri tu, watanzania wataipenda tu, huhitaji nguvu kubwaaaa kushawishi watu. Kama hivi under 17 wamefika fainali kule moroco watu wamehamasika tu kuwapenda na hawapendwa kwa kupigiwa promo tu.
Unajuwa sana kuhamasishwa wendugu❤❤❤
Hongera buga kwenye.hilo.huna.mpinzani.tanzania.nzimaaa❤❤❤
Alhamdulillah allah akupe maisha marefup kwani sekta hiyo huna mpinzan nakutakia kila la heli inshaallah
Shughuli imefika kwa mwenyewe
Uchawa kumbe unalipa 😂😂😂😂😂😂😂
Manara ukovizuri nakukubali kaka ❤
Kiukwel Kwa Sasa mm nipo under 17 ,wakubwa wajikaze
Nikikumbuka ulivyokuwa unamnanga Makonda kipindi hana cheo Nachoka
Makonda = Magufuli on my side 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Hongera sana kaka haji Hatunaga wasiwasi na ww kwenye icho kitengo
Safi sana semaji la Taifa
Makonda anaona Mbali sana.
Kipele kimempata mkunaji
Makonda number one and half
Huyu mh Manara ana kipaji cha ajabu sana, Mungu akujaalie Manara.
Manara unamafua ya kongo dawa yake rudi simba
Sasa na hakiri yako mbovu utakuja kutuletea mambo ya Simba na yanga jiangarie we Mzee muda umeenda
Yes i wonderful to you
Kwan Bongo zozo nae Yuko wapi, au ndio amechukizwa na maandamano ya Tarehe 29 akaona chakufia nn 😂😂😂