CHISANO AFICHUA SIRI USAJILI MPYA WA SIMBA NI KUFURU/UBINGWA BADO SIMBA ANA NAFAS YANGA WAJITATHIMIN
ADVERTISEMENT
Comments 14
charles_renard:
Kaka nakubali sana kwa uchambuzi wako mungu akulinde sana, …
More Like This
1:52:31
🔴 LIVE: NAMUNGO FC VS YANGA SC | MAJALIWA STADIUM
Sports
164
0
1:39:29
🔴LIVE: NAMUNGO FC vs YANGA SC LIGI KUU TANZANIA BARA MATANGAZO NA UCHAMBUZI PART 02.
Sports
233
0
1:59:21
🔴#TBCLIVE: NAMUNGO FC (1) - (3) YANGA SC, UWANJA WA MAJALIWA, LINDI
Sports
358
0
6:00:53
#LIVE WANANCHI WAUTEKA UWANJA KMC UTAMBULISHO WA X-FACTOR YANGA | RAIS ENG. HERSI ANAONGOZA SHUGHULI
Sports
4.2k
0
12:30
HIGHLIGHTS | Bulls vs All Blacks | Greatest Rivalry Tour | Sky Sport NZ
Sports
1.0k
100
0:12
POV: first pass is free #soccer #soccerplayer
Sports
8.4k
53
4:07
Singapore 1-3 Thailand | ASEAN Hyundai Cup 2026 | Match Highlights
Sports
1.5k
0
0:36
Anthony Hudson and Gavin Lee in heated exchange after Singapore-Thailand clash
Sports
135
42
You've reached the end
Kaka nakubali sana kwa uchambuzi wako mungu akulinde sana, heshima kk🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kama siyo marefa kukataa goli la simba basimba angekua anaongoza ligi
Tucheze mpira kwenye pich,sio virefa na rushwa,makosa ya kibinadamu ni kwa mechi za yanga tu,marefa sita wamefungwa
Yanga hujui kuwa anahujuma kwenye mpira wetu. Bila hivyo yanga asingekuwa pale alipo anachza na marefa na baadhi ya wachezaji wa timu anayocheza nao.
Br na makosa ya kibin aadam ya marefa.
So mbaya ni maoni yako kaka ila naamin bado ni nusu nusu jomba
Mna nyege et
Ukweli Chisano na kukubali sana, unajua sana Broo.. Toka Bongo FM ukiwa kwenye kipindi cha mchezo.
Wacha matusi. Kwani mama yako hana hicho kitu??
Yanga iko juu kwa point. Sasa unatoa point kwa yanga ya nini?
Chasano unajua sana ila sas unataka hapa ndani tusajili nani ambae atatupa kitu kimataifa kam sio fei tu
Msimu uliyopita walionekana wako juu sana wakati GSM alikuwa anadhamini zaidi ya timu 7. Halafu unasema yanga ni bora kuliko simba kwa vigezo vipi wakati tumekutana na yanga mara tatu tumemfunga mara mbili
YANGA HAJADROP ILA WAPINZANI WAKO BORA ZAID
Sowa atumtaki acha ukuma wwe